Wednesday, 20 September 2017

Nyalandu Kumpeleka Tundu Lissu Marekani Kwa Matibabu Zaidi.

Mbunge wa Singida Kaskazini (CCM), Lazaro Nyalandu, amesema anasubiri ripoti ya madktari wa Agha Kan Nairobi, ili kuweza kuchukua hatua zaidi za kumhamishia Marekani Tundu Lissu kwa matibabu zaidi.

Related Posts:

  • Nape amemjibu Makonda, Picha limeanza upyaaa Siku moja baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kuhojiwa na kituo cha Star Tv kuhusu mambo kadha wa kadha likiwemo suala la uvamizi wa Clouds Media na kusema Hakupaswa kumuingilia kwakuwa wote ni watumishi... Basi Nape ame… Read More
  • Korea Kusini yashambulia kifaa cha Korea Kaskazini Korea Kusini inasema kuwa imekishambulia ''kifaa'' kutoka Korea Kaskazini kilichorushwa katika eneo lisilo la kijeshi.Takriban risasi 90 zilifyatuliwa zikielekezwa kwa kifaa hicho ambacho kufikia sasa hakijajulikana kilikuw… Read More
  • Nyumba zateketea kwa moto Sengerema Sengerema. Nyumba za wavuvi ambazo idadi yake haijajulikana hadi sasa katika kisiwa cha uvuvi cha Nyamango Kata ya Bulyaheke  halmashauri ya Buchosa wilayani hapa, zinateketea kwa moto ambapo chanzo chake hakijajul… Read More
  • Polisi watangaza dau la Mil. 60 Ukiwakamatisha hawa JESHI la Polisi mkoa wa Pwani limetangaza zawadi ya Sh. milioni tano kwa mwananchi ambaye atafanikisha kukamatwa kwa watuhumiwa 12 ambao limedai wanajihusisha na mtandao wa mauaji yanayoendelea katika Wilaya za Kibiti, Mku… Read More
  • Madhara ya Mvua ya siku sita yaua 10, yabomoa nyumba 44 Tanga. Tathmini ya madhara yaliyotokana na na mvua zilizonyesha kwa siku sita mfululizo wiki iliyopita mkoani hapa zimeonyesha kuwa hadi sasa watu 10 wamekufa huku  nyumba 44 zikibomoka na nyingine 218 zikizingirw… Read More

0 comments:

Post a Comment