Mbunge wa Singida Kaskazini (CCM), Lazaro Nyalandu, amesema anasubiri ripoti ya madktari wa Agha Kan Nairobi, ili kuweza kuchukua hatua zaidi za kumhamishia Marekani Tundu Lissu kwa matibabu zaidi.
Wednesday, 20 September 2017
Home »
» Nyalandu Kumpeleka Tundu Lissu Marekani Kwa Matibabu Zaidi.
Nyalandu Kumpeleka Tundu Lissu Marekani Kwa Matibabu Zaidi.
Related Posts:
Picha: Gari ya kifahari zaidi duniani Huenda ukawa umesikia story nyingi kuhusu magari yaliyoingia sokoni 2017 ila hii ikawa ilikupita. Ni kampuni ya kutengeneza magari ya kifahari dunia Rolls Royce imeingiza sokoni gari ghali zaidi dunia inayoitwa Rolls … Read More
Kagera Sugar yaibua mapya kuhusu mshambuliaji Mbaraka Yusuf Kegera Sugar hawaelewi lolote kuhusiana na mshambuliaji Mbaraka Yusuf, wanasema ni mali yao.Msisitizo wa Kegera Sugar wanasema wanataka walipwe shilingi milioni 150 ili imuachie mshambuliaji huyo kwenda Azam FC ambako tayar… Read More
Kalapina awapa salamu hizi waliomteka Roma Mkatoliki Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na mmoja wa Watu wanaoaminika kuwa ni Mbabe kama siyo Mtemi na Ngumi Jiwe wa kutukuka Kalapina jana wakati akihojiwa na Kipindi cha XXL kinachorushwa na Clouds fm aliamua kutema nyongo / kuvu… Read More
Uhamiaji imekamata mitambo ya kughushi nyaraka Kamishna wa Usimamizi wa Mipaka, Samwel Magweiga IDARA ya Uhamiaji imekamata mitambo ya kughushi nyaraka mbalimbali za idara hiyo pamoja na mashine za kielektroniki (EFDs).Akizungumza na waandishi wa habari jijini … Read More
Kikwete uso kwa uso na Kardinali Pengo Dubai Dar es Salaam. Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete amemtembelea Mhadhama Polycarp Kardinali Pengo, nchini Dubai leo.Kikwete ameandika katika mtandao wake wa kijamii wa Twitter leo(Ijumaa) na kueleza kuwa amemkuta Kardinali Pengo a… Read More
0 comments:
Post a Comment