Thursday, 13 July 2017

Ukosefu wa bangi wasababisha dharura kutangwazwa Nevada, Marekani

Maafisa katika jimbo la Nevada nchini Marekani wanachukua hatua za dharura kukabiliana na uhaba wa bangi.
Mahitaji yamekuwa ya juu tangu bangi ihalalishwe kwa matumizi ya kujiburudisha tarehe mosi mwezi huu.
Hii imetokana na ukosefu wa wauzaji wa autosha.
Sheria iliwapa wauzaji wa pombe ruhusa ya kuuza bangi lakini wengi hawatimizi mahitaja ya leseni kuweza kuuza bidhaa hizo.
Idara ya kodi katika jimbo hilo ilitangaza dharaua, inayomaanisha kuwa maafisa watachukua hatua za dharura kukabiliana na uhaba huo.

Mauzo ya karibu dola milioni 3 yalikadiriwa siku nne za kwanza baada ya matumizi ya bangi kuhalalishwa.

Nevada ilipiga kura ya kuhalalisha matumi ya bangi kwa burudani mwezi Novemba kufuatiu hatua kama hizo katika majimbo mengine.
Matumzi ya bangi kwa matibabu yameruhusiwa katika majimbo 25 ikiwemoi Nevada ambapo imehalalishwa tangu nwaka 2001.

Related Posts:

  • CCM yajitosa uhalifu Kibiti CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema uhalifu unaoendelea kutokea wilaya za Kibiti, Mkuranga na Rufiji mkoani Pwani unatosha na kuitaka vyombo vya ulinzi na usalama kulichukulia suala hilo kwa uzito likome.Kimesema yeyote mwen… Read More
  • Aua mkewe kisa pesa ya matibabu JESHI la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia Pastory Chilangazi (37), mkazi wa Kijiji cha Mamvisi, Wilaya ya Gairo kwa tuhuma za kumuua mkewe kwa kipigo kutokana na kile kinachoelezwa ni kutofautiana baada ya mkewe huyo ku… Read More
  • Dola ya Marekani inateteleka WATUNGA sera kutoka Benki Kuu ya Marekani, wamesema wanafuatilia kilichoko katika uchumi wa taifa, kutokana na kuongezeka kiwango cha riba za benki nchini humo na imefanya thamani ya fedha za dola kushuka.Mchumi wa nchi hiy… Read More
  • Neema Ajira zaidi za 250 Wizara ya Ardhi SERIKALI imezidi kutangaza neema ya ajira kwa Watanzania baada ya kubainisha kuwa katika mwaka ujao wa fedha watumishi wapya 291 wataajiriwa katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Waziri wa wizara hiyo… Read More
  • Jinsi tetemeko lililodumu ndana ya sekunde 10 lilivyouwa na kujeruhi KAMANDA WA POLISI MKOANI HAPA, AHMED MSANGI. ASKARI polisi mmoja alifariki dunia na mwingine mmoja, mtuhumiwa mmoja kupoteza fahamu jana kufuatia tetemeko la ardhi lililopiga kwa sekude 10 katika maeneo machache ya mkoa … Read More

0 comments:

Post a Comment