Sunday, 28 May 2017

Askofu Gwajima afunguka juu ya sakata la madini

Dar es Salaam, Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema ni muhimu madini yasichimbwe hadi itakapowekwa mashine za kuchenjua makinikia.                      

Akizungumza kwenye ibaada kanisani kwake leo Askofu Gwajima amesema, "Tusiogope kushtakiwa Magufuli(Rais John) piga marufuku makinikia kusafirishwa nje."                      

"Madini yaliyopo Tanzania ni zaidi ya 300 lakini bado tuna umaskini tumelogwa na nani."

Related Posts:

  • Tamko la mradi wa bomba la mafuta ghafi lasainiwa Rais Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni wakitia saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima… Read More
  • Mwanamke akata uume wa kiongozi wa dini India   Mwanamke mmoja wa umri wa miaka 23 nchini India amekata uume ya wa kiongozi mmoja wa dini kwenye jimbo lililo kusini mwa nchi la Kerala, akidai kuwa alimbaka kwa miaka kadha. Polisi wanasema kuwa kiongozi huyo wa d… Read More
  • China imeuza televisheni na simu nyingi Korea Kaskazini Wakuu wa biashara wa Korea Kusini wanasema, Uchina imeiuzia Korea Kaskazini magari, televisheni, na simu za mkononi nyingi zaidi mwaka jana, ikionyesha kuwa vikwazo vya Umoja wa Mataifa haivikuathiri mahitaji ya Korea Kaska… Read More
  • FEDHA ZA RAMBIRAMBI ZATUMIKA KUJENGA HOSPITALI JINAMIZI la matumizi ya fedha za rambirambi kwenda kwa familia za wanafunzi limegeuka kaa la moto kwa kuamuliwa sehemu ya fedha hizo zipelekwe kukarabati Hospitali ya Mkoa wa Arusha Mount Meru. Fedha hizo ni zinazotakiw… Read More
  • MWIGULU ATETA NA POLISI MAUAJI KIBITI WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, amefanya ziara ya kushtukiza wilayani Kibiti mkoani Pwani na kuteta kwa faragha na askari wa operesheni maalumu ya kuwasaka wauaji. Alisema  mauaji sasa yametosha … Read More

0 comments:

Post a Comment