Dar es Salaam, Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema ni muhimu madini yasichimbwe hadi itakapowekwa mashine za kuchenjua makinikia.
Akizungumza kwenye ibaada kanisani kwake leo Askofu Gwajima amesema, "Tusiogope kushtakiwa Magufuli(Rais John) piga marufuku makinikia kusafirishwa nje."
"Madini yaliyopo Tanzania ni zaidi ya 300 lakini bado tuna umaskini tumelogwa na nani."
Sunday, 28 May 2017
Home »
» Askofu Gwajima afunguka juu ya sakata la madini
Askofu Gwajima afunguka juu ya sakata la madini
Related Posts:
Muungano wa wafanyakazi wampiga marufuku rais ZumaImage captionMuungano wa wafanyikazi nchini Afrika Kusini Cosatu Baraza la Muungano wa wafanyikazi nchini Afrika Kusini Cosatu ambalo ni mshirika mkuu wa chama tawala cha ANC limempiga marufuku rais Jacob Zuma kuhutubia katik… Read More
Je unawajua wakongwe waliozoea kufanya kazi duniani?Haki miliki ya pichaAFP/GETTY IMAGESImage captionMwanamfalme Philip anasema atajiuzulu baadaye mwaka huu Wakati Mwanamfalme Philip, anayeingia miaka 96 mwezi Juni anastaafu majukumu yake ya kifalme baadaye mwaka huu, tunawaan… Read More
Manji amethibitisha tena kujiuzulu Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji amethibitisha kuachia ngazi katika nafasi ya Uenyekiti wa klabu hiyo, uamuzi ambao aliuchukua tangu Mei 20, mwaka huu. Kutokana na uamuzi huo wa Manji sasa Yanga itakuwa chin… Read More
Wanafunzi 3 kutoka Tanzania wafariki Ziwa Victoria Wanafunzi watatu kutoka shule ya msingi ya Butwa mkoani Geita wamekufa maji huku wenzao tisa wakinusurika kifo baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kupinduka katika Ziwa Victoria. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kam… Read More
Alberto Msando ajiuzulu Ushauri wa chama cha Act-Wazalendo Mkuu wa Chama Cha Act-Wazalendo Zitto Kabwe amethibitisha kupokea barua ya kujiuzulu kwa mshauri mteule wa Chama hicho Albarto Msando."Nimepokea barua ya Wakili Albert G. Msando kuomba kujiuzulu nafasi yake ya Ushauri wa Ch… Read More
0 comments:
Post a Comment