KUTOKA KWENYE MAZISHI UGANDA...... pesa zaidi ya 30 mil zamwagwa ndani ya kaburi la Ivan Don... Kabla ya maiti kuwekwa....!! Ni balaaaaa..... RIP IVAN DON ila ingekuwa hapa bongo ingebidi hlo kaburi lilindwe hata miez mitatu mpaka hzo pesa ziharibike kwa joto maana la sivyo watu wangemfukuaje!..yaan asubh mwil ungekutwa pembeni..pesa ilivyongumu jamani
Tuesday, 30 May 2017
Home »
» Ivan Don Azikwa na Mamilion ya Pesa Kaburini
Ivan Don Azikwa na Mamilion ya Pesa Kaburini
Related Posts:
Wamiliki wa Makentena ya Magogo yaliyonaswa bandarini kufikishwa Kortini SERIKALI inaendelea kuchunguza wamiliki wa Makontena matano ya magogo yaliyokamatwa bandarini mwaka juzi, kuwafikisha mahakamani.Shehena hiyo ya magogo ya mti aina ya Mkulungu ilikamatwa Novemba 5, 2015 yakion… Read More
Bungeni hapatoshi Sakata la Makinikia BUNGE limeingia siku ya nne jana kujadili Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2017/18, huku wabunge kadhaa wakiraruana kuhusu ripoti ya pili ya kamati iliyoundwa na Rais Dk. John Magufuli, kuhusu mchanga wa dhahabau (makinikia)… Read More
Takukuru: Tunaendelea Kuwahoji watuhumiwa wa Makinikia TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru imesema kuwa inaendelea kuwahoji watuhumiwa wote walitajwa kwenye sakata la kusafirisha Makinikia ya madini nje ya nchiOfisa Habari wa (Takukuru), Mussa Misalaba, ames… Read More
Wahamiaji 1000 waokolewa pwani ya LibyaImage captionWahamamiaji huwa na imani ya kupata maisha bora zaidi Ulaya Vikosi vya uokoaji vinavyofanya kazi katika pwani ya Libya vimeokoa zaidi ya wahamiaji elfu moja kwa siku moja. Walikuwa katika boti dogo lililokuwa li… Read More
Hizi ndizo adhabu za watuhumiwa wa Makinikia wakikutwa na hatia BAADHI ya wanasheria, wabunge waliomo katika kamati inayoshughulikia sheria na katiba na pia wachambuzi wa masuala ya kisheria, walisema kuwa yeyote miongoni mwa wanaochunguzwa sasa na vyombo vya dola anaweza kukumbana n… Read More
0 comments:
Post a Comment