Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amewatahadharisha wanaomchokoza akisema ni sawa na mtu anayeanzisha ugomvi huku akiwa amevaa taulo.
Akihubiri leo, Gwajima amesema wakiendelea atawavua mataulo ili jamii iwaone.
Bila kufafanua kuhusu kauli hiyo, Gwajima amesema hawezi kunyamaza wakati watu wanaendelea kumfuata fuata.
"Leo nitakwapua mataulo ya watu,"amesema huku akishangiliwa na waumini wake.
Sunday, 28 May 2017
Home »
» Askofu Gwajima: nitawavua mataulo wanaonichokoza
Askofu Gwajima: nitawavua mataulo wanaonichokoza
Related Posts:
Mwanajeshi wa Korea Kaskazini ahamia K. Kusini kwa kuogelea Mwanajeshi mmoja wa Korea Kaskazini ametorokea Korea Kusini kupitia kuvuka mto Han kwa kuogelea ,ikiwa ni mara ya pili kwa raia wa taifa hilo kuhamia kwa majirani zao.Mkuu wa Jeshi nchini Korea Kusini amesema kuwa mwanajesh… Read More
Marekani yashambulia na kuiangusha ndege ya jeshi la SyriaHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionNdege sawa na hii yaA F/A-18E Super Hornet ya Syria ndiyo iliangushwa Muungano unaoongozwa na Marekani nchini Syria umeangusha ndege ya jeshi la Syria katika mkoa wa Raqqa. Jeshi … Read More
Tambua Madhara ya Ulaji wa Chipsi Chips ni aina ya chakula ambacho hupendwa na watu wengi na pia ni miongoni mwa vyakula vyenye mafuta mengi. chips pia inasemekana ni miongoini mwa vyakula ambavyo hupikwa katika joto la juu zaidi ya 300 degree.Chips ni chak… Read More
Watu wenye silaha washambulia eneo la watalii MaliHaki miliki ya pichaREUTERSImage captionLe Campement Kangaba, eneo lililoshambuliwa Vyombo vya Usalama nchini Mali vinasema vimeokoa zaidi ya wageni thelathini kutoka katika kituo kimoja cha Utalii, kilichokuwa kikishambuliwa… Read More
Marekani yatoa majina ya wanajeshi waliouwawa baharini Haki miliki ya pichaREUTERSImage captionAjali hiyo ilisababisha shimo kubwa kweny meli ya kijeshi Marekani imetangaza majina ya wanajeshi wake 7 ambao waliuawa wakati meli yao iligongana na ile ya mizigo katika eneo l… Read More
0 comments:
Post a Comment