Sunday, 28 May 2017

Watu watatu wafa na mmoja kanusurika Rufiji

Rufiji. Watu watatu  wamefariki dunia kwa kuzama majini na mmoja kunusurika kifo baada ya mtumbwi waliokuwa wakivukia kuzama bwawani wilayani Rufiji mkoani Pwani.

Akithibitisha kutokea kwa vifo hivyo, Ofisa Tarafa ya Ikwiriri, Suleimani Mpangile aliwataja marehemu hao kuwa ni Sijali Abdallah (14), Zuberi  Penya (11) wakazi wa Umwe Ikwiriri  na Salehe Saidi (31) mkazi wa Dar es Salaam.

Mpangile pia alimtaja aliyenusulika kifo kuwa ni Musa Mkamba ambaye alikuwa akiwavusha marehemu hao.

Alisema chanzo cha vifo hivyo ni mtu

Related Posts:

  • Everton kumsajili PickfordHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionKipa wa Sunderland Jordan Pickford Klabu ya soka ya Everton imefikia makubaliano ya kumsajili kipa Jordan Pickford kutoka klabu ya Sunderland kwa dau pauni milioni 30. Pickford, k… Read More
  • Ronaldo kushtakiwa kwa kukwepa kodi Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionChristiano Ronaldo akicheza fainali za Champion League Mamlaka nchini Uhispania zitamfungulia mashtaka nyota wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo, akishutumiwa kwa kukwepa kul… Read More
  • Korea Kaskazini yamwachilia huru MmarekaniHaki miliki ya pichaREUTERSImage captionWazazi wa Otto Warmbier waliohifia usalama wa mwana wao kufuatia kuongezeka kwa uhsama kati ya Marekani na Korea Kaskazini Korea Kaskazini imemwachilia huru mwanafunzi Mmarekani Otto Wa… Read More
  • Muasi Bosco Ntaganda kutoa ushahidiHaki miliki ya pichaAFPImage captionBosco Ntaganda maarufu 'Terminator' Aliyekua kiongozi wa waasi nchini Congo, Bosco Ntaganda anatarajiwa kutoa ushahidi leo katika mahakama ya kimatafa ya ICC. Ntaganda aliyepewa jina la 'T… Read More
  • Kutoka Forbes: Wasanii na wachezaji matajiri zaidi duniani watajwaHaki miliki ya pichaPA/GETTYImage captionBeyonce na JK Rowling ndio wanawake pekee katika 10 waliopata pesa nyingi zaidi Jarida la Forbes limetoa orodha ya watumbuizaji wanaolipwa pesa nyingi zaidi duniani, Sean "Diddy" Combs… Read More

0 comments:

Post a Comment