Sunday, 28 May 2017

Watu watatu wafa na mmoja kanusurika Rufiji

Rufiji. Watu watatu  wamefariki dunia kwa kuzama majini na mmoja kunusurika kifo baada ya mtumbwi waliokuwa wakivukia kuzama bwawani wilayani Rufiji mkoani Pwani.

Akithibitisha kutokea kwa vifo hivyo, Ofisa Tarafa ya Ikwiriri, Suleimani Mpangile aliwataja marehemu hao kuwa ni Sijali Abdallah (14), Zuberi  Penya (11) wakazi wa Umwe Ikwiriri  na Salehe Saidi (31) mkazi wa Dar es Salaam.

Mpangile pia alimtaja aliyenusulika kifo kuwa ni Musa Mkamba ambaye alikuwa akiwavusha marehemu hao.

Alisema chanzo cha vifo hivyo ni mtu

Related Posts:

  • Taarifa Muhimu kutoka Idara ya Elimu Chalinze Mkoani Pwani IDARA ya elimu Halmashauri ya Chalinze wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani imeishukuru Serikali Kuu kwa kuwapatia vitabu 109, 673 vyenye thamani ya zaidi ya sh. Mil. 117. Afisa elimu Halmashauri hiyo Bi. Zainabu Makwinya… Read More
  • Adhabu kali kwa Raia Wanaoishi bila ndoa Burundi Pierre-Nkurunziza Rais wa Burundi Watu wanaoishi katika mahusiano ya mume na mke bila kufunga ndoa nchini Burundi wameamrishwa kwamba wawe wameoana rasmi ifikapo mwishoni mwa mwaka huu la sivyo wataaadhibiwa vikali. Ms… Read More
  • Irene Uwoya ateuliwa kuwa balozi KAMPUNI ya simu za mkononi ya itel mobile Tanzania leo imetiliana saini na msanii wa Bongo Muvi, Irene Uwoya kuwa balozi wake atakayeitangaza kampuni hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja. Akizungumza katika hafla hiyo Haf… Read More
  • Mzee Yusuph anakutaka ufute nyimbo zake kwenye simu yako Aliyekuwa mfalme wa muziki wa taarab nchini, Mzee Yusuph amefunguka na kueleza kuwa watu wote walio na nyimbo zake kwenye simu zao wafute na kuacha kusikiliza ili kuepuka dhambi. Katika mahojihano na kipindi cha Mitikis… Read More
  • Naibiwa sana Wanaume- Wolper Muigizaji Jacquline Wolper amekanusha vikali kuhusu suala la kuwahi kubadilisha dini kwa shinikizo la mapenzi na kwamba yote yaliyowahi kuonekana au kusikika huko nyuma ni mambo ya sanaa. Jacqueline Wolper anadai kuwa m… Read More

0 comments:

Post a Comment