Thursday, 25 May 2017

Kikwete aanza kazi na Mgogoro wa Libya

Rais Mstaafu Jakaya Mrisho kikwete ameanza kazi kama Mwenyekiti Mwenza katika Baraza la Kimatifa la Wakimbizi ambapo ameanza kazi yeye na jopo lake ya kutaka kusuluhisha Mgororo wa muda mrefu wa nchin ya Libya.


Kikwete kwa mara ya kwanza juzi akiwa kwenye Mkutano wa Kimataifa, kwa ajili ya kujadili kuikomboa libya kutoka kwenye mgogoro wa mda mrefu ambapo unapelekea wananchi wa nchi hiyo kuwa wakimbizi wa nchi za Magharibi.

source:muungwana

Related Posts:

  • John Heche: Ndege za ACACIA kupigwa mawe Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche amefunguka na kusema kwa kuwa Rais Magufuli kupitia ripoti ya pili ya mchanga amesema kampuni ya ACACIA ni feki na haipo basi yeye anawaambia wana… Read More
  • ACACIA waelezea usajili wao KAMPUNI ya uchimbaji madini ya Acacia, imesema kuwa inafanya kazi nchini kwa misingi ya sheria na Mamlaka ya Soko la Mitaji na Dhamana (CMSA) inatambua uwepo wake.Kauli hiyo imekuja baada ya juzi taarifa ya pili ya wachumi … Read More
  • Mbowe atema nyongo Siku moja baada ya Mkuu wa Wilaya ya Hai, Galasius Byakanwa kuongoza uondoaji wa miundombinu katika shamba la Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, mwenyekiti huyo ameandika hivi ivi katika ukurasa wake wa Instagram:"Najua … Read More
  • SOMA: Ronaldo alivyojitetea kuhusu tuhuma za ukwepaji kodi Mchezaji huyo, jana Jumanne aliandikiwa barua na akitakiwa kujibu mashtaka yaliyoandaliwa na mamlaka ya kodi mjini Pozuelo de Alorcon.Mwanasheria wa Cristiano Ronaldo amepinga vikali tuhuma zinazoelekezwa kwa mshambuliaji h… Read More
  • Ivo Mapumba azibebesha lawama Simba na Yanga Aliyekuwa golikipa wa vilabu mbalimbali vikubwa Afrika Mashariki ikiwemo Simba, Yanga, Azam, Gor Mahia na Taifa Stars, Ivo Mapunda amevilaumu vilabu vya Simba na Yanga kwa kudharau na kutokuona umuhimu wa michuano ya SportP… Read More

0 comments:

Post a Comment