Home »
» Kikwete aanza kazi na Mgogoro wa Libya
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho kikwete ameanza kazi kama Mwenyekiti Mwenza katika Baraza la Kimatifa la Wakimbizi ambapo ameanza kazi yeye na jopo lake ya kutaka kusuluhisha Mgororo wa muda mrefu wa nchin ya Libya.
Kikwete kwa mara ya kwanza juzi akiwa kwenye Mkutano wa Kimataifa, kwa ajili ya kujadili kuikomboa libya kutoka kwenye mgogoro wa mda mrefu ambapo unapelekea wananchi wa nchi hiyo kuwa wakimbizi wa nchi za Magharibi.
source:muungwana
Related Posts:
Hawa wote motoni
KIMENUKA! RAIS John Magufuli ameagiza kukamatwa na kuhojiwa kwa waliokuwa mawaziri, kamishina wa madini, wanasheria wakuu (AG) na waliokuwa watumishi katika idara mbalimbali za serikali zilizoruhusu usafirishaji wa madini … Read More
Mwanamke ajichinja kwa chupa
MWANAMKE aliyefahamika kwa jina la Saada Elias (24) mkazi wa Mtaa wa Mabambase katika Manispaa ya Shinyanga alifariki dunia kwa kujikata koromeo kwa chupa ya soda.
Mwanamke huyo alijiua kwa chupa ikiwa ni muda mfupi baa… Read More
Korea Kaskazini yamwachilia huru MmarekaniHaki miliki ya pichaREUTERSImage captionWazazi wa Otto Warmbier waliohifia usalama wa mwana wao kufuatia kuongezeka kwa uhsama kati ya Marekani na Korea Kaskazini
Korea Kaskazini imemwachilia huru mwanafunzi Mmarekani Otto Wa… Read More
Diamond afunguka mchango wa Wema Sepetu kwenye ‘Chibu Perfume’.
Msanii wa muziki, Diamond platnumz amefunguka kuuzungumzia mchango wa malkia wa filamu, Wema Sepetu kwenye perfume yake ya ‘Chibu Perfume’.Diamond amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa, yeye na Wema wanakutana na ku… Read More
Wananchi watema cheche, wataka Marais wastaafu wachunguzwe
Mikoani. Wananchi katika maeneo mbalimbali nchini wamemshauri Rais John Magufuli kufanya mabadiliko ya Katiba na kuhakikisha diplomasia ya uchumi haivurugiki kutokana na sakata la mchanga wa madini (makinikia).Wakitoa maoni… Read More
0 comments:
Post a Comment