Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, Mei 24, mwaka huu alituma ujumbe Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuipongeza Young Africans ya Dar es Salaam kwa kutwaa ubingwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2016/17.
Young Africans imetwaa Kombe hilo ikiwa ni mara tatu mfululizo na katika salamu za pongezi, Rais Gianni Infantino amesema ubingwa huo wa Young Africans ni kielelezo cha ushirikiano baina ya wachezaji, kocha, utawala, matabibu pamoja na mashabiki.
Katika pongezi zake Rais Infantino ameishukuru Young Africans na shirikisho la mpira wa miguu la nchi kwa kusadia kupeleka ujumbe chanya kwa jamii kuhusiana na mpira wa miguu.
Friday, 26 May 2017
Home »
» Rais wa FIFA aipongeza Yanga
Rais wa FIFA aipongeza Yanga
Related Posts:
BREAKING NEWS!!!! Kama wewe ni mtumiaji wa mtandao wa whatsapp na hujui chochote kilichotokea usiku wa kuamkia leo, taaarifa ni kwamba mtandao wa whatsapp ulitoweka hewani ghafla duniani kote majira ya usiku. Mtandao huo ulianza kutoweka … Read More
Hali yazidi kuwa tata Korea Kaskazini: CIA wanapanga kumuua Kim Jong-un Maajenti wa Marekani na Korea Kusini wanapanga njama ya kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un, vyombo vya habari nchini humo vimesema. Taarifa kutoka wizara ya usalama nchini Korea Kusini imesema mawakala wa kund… Read More
Jedwali la Msimamo wa ligi ya EPL 2016/17 Msimamo wa Ligi Kuu ya England kufikia 8 Mei, 2017. NambariKlabuMechiMabaoAlama 1Chelsea344381 2Tottenham354877 3Liverpool362970 4Man City353369 5Man Utd352465 6Arsenal342463 7Everton361958 8West Brom35-445 9Leicest… Read More
Siri ya kufaulu mtihani: Mmea wa Rosemary husaidia kukumbuka mambo Watafiti nchini Uingereza wamesema huenda harufu ya mmea wa rosemary ikawa na uwezo wa kusaidia mtu kukumbuka mambo. Mmea huyo, ambao huwa na maua ya rangi ya nyeupe, waridi, zambarau au samawati, sana hutumiwa kama kiungo… Read More
UTAFITI: Kerengende wa kike ''hujiuwa'' ili kukwepa tendo la ngono Utafiti mpya umebaini kwamba kerengende wa kike huwa anajifanya kuwa amekufa ili kukwepa wenzao wa kiume. Rassim Khelifa, kutoka chuo kikuu cha Zurich Switzerland, anasema kwamba aliona kerengende wa kike aliyekuwa akifu… Read More
0 comments:
Post a Comment