Thursday, 25 May 2017

Prof. Maghembe ataka walionyang’anywa pikipiki warudishiwe


Responsive image
Waziri wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Maghembe akijibu hoja mbalimbali za Wabunge waliochangia bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018.

Serikali imeagiza kurejeshwa mara moja kwa pikipiki, baiskeli na vifaa vyote vya wananchi vilivyokamatwa katika maeneo mbalimbali nchini baada ya wamiliki wake kubainika kujihusisha na uchomaji na uuzaji wa mkaa.
Kauli hiyo ya Serikali imetolewa Bungenni Mjini Dodoma na Waziri wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Maghembe wakati akijibu hoja mbalimbali za Wabunge waliochangia bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018.
Kuhusu Watanzania ambao wamekua wakijihusisha na kilimo cha mashamba ya miti ama misitu, Waziri Maghembe amesema kuwa  Wakulima hao wako huru kujichagulia matumizi ya miti yao.
Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka wa Fedha wa 2017/2018 baada ya kujadiliwa na Wabunge kwa takribani siku Mbili na hoja zao mbalimbali kujibiwa na serikali.


Related Posts:

  • Ivo Mapumba azibebesha lawama Simba na Yanga Aliyekuwa golikipa wa vilabu mbalimbali vikubwa Afrika Mashariki ikiwemo Simba, Yanga, Azam, Gor Mahia na Taifa Stars, Ivo Mapunda amevilaumu vilabu vya Simba na Yanga kwa kudharau na kutokuona umuhimu wa michuano ya SportP… Read More
  • ACACIA waelezea usajili wao KAMPUNI ya uchimbaji madini ya Acacia, imesema kuwa inafanya kazi nchini kwa misingi ya sheria na Mamlaka ya Soko la Mitaji na Dhamana (CMSA) inatambua uwepo wake.Kauli hiyo imekuja baada ya juzi taarifa ya pili ya wachumi … Read More
  • John Heche: Ndege za ACACIA kupigwa mawe Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche amefunguka na kusema kwa kuwa Rais Magufuli kupitia ripoti ya pili ya mchanga amesema kampuni ya ACACIA ni feki na haipo basi yeye anawaambia wana… Read More
  • Wanaotetea Acacia wachapwe viboko: Mwenyekiti CCM Bendera ya CCM MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Wilaya ya Rorya mkoani Mara, Samwel Kiboye amesema Watanzania wote walioshirikiana na kampuni za uchimbaji wa madini ya Acacia, kufanikisha utoroshaji wa madin… Read More
  • Gari lenye kasi zaidi duniani latarajiwa kufanyiwa majaribio OktobaHaki miliki ya pichaBLOODHOUND SSCImage captionMradi wa Bloodhound mara ya kwanza ulitangazwa mwaka 2008 Gari lenye mwendo wa kasi zaidi duniani litakimbia kwa mara ya kwanza kabisa tarehe 26 mwezi Oktoba, Gari litakimbia kw… Read More

0 comments:

Post a Comment