Kamati ya Saa 72 imekaa kupitia mambo mbalimbali na moja ya uamuzi wake ni kuhusiana na Yanga kugoma kuingia vyumbani.
Mechi namba 206 (Yanga 1 Vs Toto Africans 0).
Klabu ya Yanga imepigwa faini ya sh. 1,000,000 (milioni moja) kutokana na timu yake kutoingia vyumbani wakati wa mechi hiyo iliyochezwa Mei 9, 2017 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Adhabu hiyo imetolewa kwa mujibu wa Kanuni ya 14(48) ya Ligi Kuu. Uamuzi huo umezingatia pia kuwa Yanga imekuwa ikirudia kosa hilo mara kwa mara.
Friday, 26 May 2017
Home »
» Yanga yapigwa faina ya milioni moja na TFF
Yanga yapigwa faina ya milioni moja na TFF
Related Posts:
Walinzi wa Netanyahu na wa rais wa Togo wazozana LiberiaHaki miliki ya pichaEPAImage captionNetanyahu alitaja kuwepo kwake kama wa kihistoria Mkutano kati ya waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na rais wa Togo Faure Gnassingbé, ulilazimika kupangwa upya baada ya mvutano uliot… Read More
Kasisi aliyewalisha watu nyoka Afrika Kusini, afika NigeriaHaki miliki ya pichaOUPA MOKOENA/PRETORIA NEWSImage captionBw. Mnguni anaonekana akitafuna nywele za mwanadada huyu katika mojawepo ya mahubiri yake Afrika Kusini mwaka 2015 Kasisi mmoja anayejiita nabii na ambaye alisababish… Read More
Biashara ya pombe yashuka kote DunianiHaki miliki ya pichaSEAN DEMPSEYImage captionUnywaji wa pombe duniani ulishuka mwaka wa 2016 Idadi ya watu wanaojivinjari kwa mvinyo imepungua, kulingana na ripoti ya shirika mpya linalofuatilia unywaji wa pombe duniani. Uuz… Read More
Mti mrefu barani Afrika uko Tanzania,ni kivutio wataliiImage captionDk. Andreas Hemps akiupima mti huo mrefu barani Afrika aina ya Mkukusu Mkoa wa Kilimanjaro uliopo kaskazini mwa Tanzania, ni maarufu kwa shughuli za utalii. Kila mwaka watalii huja kwa lengo la kupanda Mlima Kil… Read More
Watu 12 wauwawa katika shambulio la kwanza la 'IS' nchini IranHaki miliki ya pichaJAMARANNEWS/FARSImage captionPicha hii ya kituo cha Far News inaonyeha mlipuko nje ya kaburi Mashambulio mawili ya kujitoa mhanga katika Bunge la Iran na kwenye eneo la kaburi la kiongozi wa kidini Ayatoll… Read More
0 comments:
Post a Comment