Wednesday, 31 May 2017
Home »
» Ndugai amkumbuka kwa majonzi Ndesamburo
Ndugai amkumbuka kwa majonzi Ndesamburo
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema anamkumbuka marehemu Phillemon Ndesamburo aliyekuwa mbunge wa Moshi Mjini (Chadema) kwa uchapakazi wake na mapenzi yake makubwa kwa wapiga kura wake.
“Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Mheshimiwa Ndesamburo ambaye pia ni baba wa Mbunge wa Viti Maalum, Lucy Owenya kilichotokea leo Mkoani Kilimanjaro, hakika ni pigo kubwa,”amesema Spika katika taarifa iliyotumwa leo na Kitengo cha Mawasiliano cha ofisi yake
Ndesamburo amefariki leo wakati akipata matibabu katika hospitali ya Rufaa ya KCMC.
Taarifa hiyo imeongeza; "Namkumbuka vyema marehemu Ndesamburo na tuliingia Bungeni pamoja mwaka 2000, alikuwa na mapenzi makubwa kwa wapiga Kura wake."
Related Posts:
Aliyeuwa na kujificha miaka 45 akamatwa Japan Haki miliki ya pichaAFPImage captionIdara ya polisi inasema kuwa imethibitisha kuwa kwa hakika ni mtoro Bw. Osaka, baada ya kuchunguza chembechembe za damu yake-DNA Kisa cha mshukiwa mmoja wa mauwaji nchini Japan, kim… Read More
Man United kumtema Ibrahimovic Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionZlatan Ibrahimovic Timu ya Man united huenda isimuongeze mkataba mpya mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic, mkataba wake wa sasa unamalizika Juni 30. Zlatan mwenye miaka 35 ali… Read More
Uchaguzi Uingereza 2017: Mbwa wafika kwa wingi vituoniHaki miliki ya pichaTWITTER@KCATCLARKEImage captionFionn, Luna na Roby wakiwa kituoni wamiliki wao walipoenda kupiga kura Cumbria Wapiga kura walipokuwa wanafika vituoni kupiga kura Uingereza, mbwa wa kila aina hawakuachwa ny… Read More
Chelsea: Diego Costa amesema klabu hiyo inataka kumuuza Haki miliki ya pichaREUTERSImage captionCosta amesema angependa sana kurejea Atletico Madrid Mshambuliaji wa klabu ya Chelsea Diego Costa amesema amefahamishwa na meneja wa klabu hiyo Antonio Conte kwamba hayupo tena katika… Read More
England uso kwa uso na Venezuela fainali ya kombe la dunia U20Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionMfungaji wa mabao mawili ya England Dominic Solanke katikati akishangailia na wachezaji wenzake Timu za England na Venezuela zimetinga kwenye hatua ya fainali ya michuano ya kombe … Read More
0 comments:
Post a Comment