Friday, 26 May 2017

Ngozi ya Samaki kutibu majeraha ya moto

Madaktari wa Brazil wameanza kutumia ngozi ya samaki aina ya Tilapia kutibu majeraha ya moto wakisema ngozi ya aina hiyo ya samaki ina kiwango kikubwa cha madini ya collagen na protein ambayo husaidia majeraha makubwa ya moto kupona haraka.

Wanasayansi hao wameanza rasmi kutumia njia hiyo inayodaiwa kuwa na ufanisi mkubwa zaidi ya kutumia bendeji za kawaida kwa kuwa ngozi ya Samaki hao inasaidia kupambana na maambukizi ya bakteria wanaoshambulia majeraha ya moto ikiwa na madini yanayosaidia kufuta alama za kuungua kwa haraka.

Inaelezwa mpaka sasa zaidi ya wagonjwa 56 waliotibiwa kwa kutumia ngozi ya Samaki hao wameonesha maendeleo mazuri. Kwa mujibu wa madaktari hao ngozi ya Nguruwe pia inaweza kutumika kufungia vidonda vinavyotokana na moto kutokana na kiwango kikubwa cha collage iliyopo kwenye ngozi hiyo

Related Posts:

  • Gavana asema al-Shabab huenda wakateka eneo la KenyaImage captionRamani ya Somalia Viongozi wa eneo la mashariki nchini Kenya wameonya kwamba maeneo ya taifa hilo huenda yakanyakuliwa na wapiganaji wa Al-Shabab. Gavana wa kaunti ya Wajir ambayo inapakana na taifa la Somalia a… Read More
  • Taarifa ya leo Mei 28, kumuhusu Ivan aliyekuwa Mume wa Zari IVAN SEMWANGA, aliyekuwa mume wa Zarina Hassan ‘The Bosslady’ ambaye sasa ni mpenzi na mzazi mwenzake wa mwanamuziki wa Tanzania, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnum’, atazikwa Jumanne (Mei 30) wiki ijayo  nyumbani kwao Kay… Read More
  • Polepole aonywa kauli yake ya Mauaji Kibiti Mwenyekiti wa Tanzania Mzalendo Foundation, Khamis Mgeja amemuonya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Hampyrey Polepole aache mara moja kugeuza matukio ya kuuawa Watanzania katika Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani kwa kuy… Read More
  • Wauawa kwa kuwalinda wanawake Waislamu MarekaniHaki miliki ya pichaCBS/EVNImage captionPolisi wanasema mwanamume aliyekuwa akitukana, aliwageukia wanaume hao waliojaribu kuingilia kati Polisi katika mji wa Portland nchini Marekani, wanasema wanaume wawili waliuawa, walipo… Read More
  • Trump 'atengwa' na wenzake G7Image captionRais Trump ametengwa na wenzake kuhusiana na makubaliano ya tabia nchi yaliofakiwa mjini Paris Viongozi katika mkutano wa G7 wametofautiana kuhusu taarifa ya mabadiliko ya tabia nchi. Viongozi sita walikubaliana… Read More

0 comments:

Post a Comment