Sunday, 28 May 2017

Gavana asema al-Shabab huenda wakateka eneo la Kenya

Ramani ya Somalia
Image captionRamani ya Somalia
Viongozi wa eneo la mashariki nchini Kenya wameonya kwamba maeneo ya taifa hilo huenda yakanyakuliwa na wapiganaji wa Al-Shabab.
Gavana wa kaunti ya Wajir ambayo inapakana na taifa la Somalia amesema maswala ya mauaji ya machifu wa eneo hilo, mabomu ya kutegwa barabarani, pamoja na uharibifi wa vifaa vya mawasiliano hayapewi umuhimu mkubwa.
Gavana wa kaunti ya Mandera, Ali Roba ambaye msafara wake ulishambuliwa na wapiganaji wa Al-Shabab amesema kuwa serikali kuu inahitaji kuingilia swala hilo kwa haraka.
Kundi la wapiganaji wa Al-Shabab linadhibiti maeneo mengi nchini Somalia na linawaajiri wapiganaji kutoka Kenya na mataifa mengi ya Afrika mashariki.

Related Posts:

  • SOMA: Ronaldo alivyojitetea kuhusu tuhuma za ukwepaji kodi Mchezaji huyo, jana Jumanne aliandikiwa barua na akitakiwa kujibu mashtaka yaliyoandaliwa na mamlaka ya kodi mjini Pozuelo de Alorcon.Mwanasheria wa Cristiano Ronaldo amepinga vikali tuhuma zinazoelekezwa kwa mshambuliaji h… Read More
  • Hili ndilo janga la tatu alilolipata Mbowe Masaibu yanazidi kumkumba Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe baada ya Serikali kung’oa miundombinu ya umwagiliaji katika shamba lake.Hilo ni janga jingine kwa Mbowe baada ya miezi michache iliyopita kutaj… Read More
  • John Heche: Ndege za ACACIA kupigwa mawe Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche amefunguka na kusema kwa kuwa Rais Magufuli kupitia ripoti ya pili ya mchanga amesema kampuni ya ACACIA ni feki na haipo basi yeye anawaambia wana… Read More
  • Mbowe atema nyongo Siku moja baada ya Mkuu wa Wilaya ya Hai, Galasius Byakanwa kuongoza uondoaji wa miundombinu katika shamba la Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, mwenyekiti huyo ameandika hivi ivi katika ukurasa wake wa Instagram:"Najua … Read More
  • Ivo Mapumba azibebesha lawama Simba na Yanga Aliyekuwa golikipa wa vilabu mbalimbali vikubwa Afrika Mashariki ikiwemo Simba, Yanga, Azam, Gor Mahia na Taifa Stars, Ivo Mapunda amevilaumu vilabu vya Simba na Yanga kwa kudharau na kutokuona umuhimu wa michuano ya SportP… Read More

0 comments:

Post a Comment