WATUNGA sera kutoka Benki Kuu ya Marekani, wamesema wanafuatilia kilichoko katika uchumi wa taifa, kutokana na kuongezeka kiwango cha riba za benki nchini humo na imefanya thamani ya fedha za dola kushuka.
Mchumi wa nchi hiyo, Gus Faucher, anasema ni hali ya kushangaa kuonekana Dola za Marekani, inashuka thamani hivi sasa.
"Nadhani takwimu tulizopata kutoka mkutanoni inaonyesha vigezo," anasema Faucher, huku wachumi wakieleza shaka yao dhidi ya hali halisi ya sera za Rais mpya, Donald Trump.
Inaelezwa kwamba katika kipindi kifupi kilichopita, tangu Machi mwaka huu, serikali iliongeza kiwango cha riba zake mara tatu.
Pia, katika sura nyingine, inaelezwa kuwa benki zimeendelea kuwa imara katika majukumu yake ya kila siku.
Kwa miaka mingi na katika sehemu nyingi, Dola ya Marekani imekuwa marejeo cha kiwango cha mabadilishano katika fedha za dunia.
Pia, kuna fedha kama za Euro ambazo ni za Jumuiya ya Ulaya (EU) na Pauni za Uingereza, nazo zimeshika nafasi hiyo .
Friday, 26 May 2017
Home »
» Dola ya Marekani inateteleka
Dola ya Marekani inateteleka
Related Posts:
Biashara ya pombe yashuka kote DunianiHaki miliki ya pichaSEAN DEMPSEYImage captionUnywaji wa pombe duniani ulishuka mwaka wa 2016 Idadi ya watu wanaojivinjari kwa mvinyo imepungua, kulingana na ripoti ya shirika mpya linalofuatilia unywaji wa pombe duniani. Uuz… Read More
Mataifa sita ya Kiarabu yavunja uhusiano wao na QatarHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionMji mkuu wa Qatar, Doha Mataifa sita ya Kiarabu, zikiwemo Saudi Arabia, Misri, Bahrain, Umoja wa Milki za Kiarabu na Yemen, yamekata uhusiano wao wa kidiplomasia na Qatar yakiilaum… Read More
Mataifa sita ya Kiarabu yavunja uhusiano wao na QatarHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionMji mkuu wa Qatar, Doha Mataifa sita ya Kiarabu, zikiwemo Saudi Arabia, Misri, Bahrain, Umoja wa Milki za Kiarabu na Yemen, yamekata uhusiano wao wa kidiplomasia na Qatar yakiilaum… Read More
Mti mrefu barani Afrika uko Tanzania,ni kivutio wataliiImage captionDk. Andreas Hemps akiupima mti huo mrefu barani Afrika aina ya Mkukusu Mkoa wa Kilimanjaro uliopo kaskazini mwa Tanzania, ni maarufu kwa shughuli za utalii. Kila mwaka watalii huja kwa lengo la kupanda Mlima Kil… Read More
Walinzi wa Netanyahu na wa rais wa Togo wazozana LiberiaHaki miliki ya pichaEPAImage captionNetanyahu alitaja kuwepo kwake kama wa kihistoria Mkutano kati ya waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na rais wa Togo Faure Gnassingbé, ulilazimika kupangwa upya baada ya mvutano uliot… Read More
0 comments:
Post a Comment