WATUNGA sera kutoka Benki Kuu ya Marekani, wamesema wanafuatilia kilichoko katika uchumi wa taifa, kutokana na kuongezeka kiwango cha riba za benki nchini humo na imefanya thamani ya fedha za dola kushuka.
Mchumi wa nchi hiyo, Gus Faucher, anasema ni hali ya kushangaa kuonekana Dola za Marekani, inashuka thamani hivi sasa.
"Nadhani takwimu tulizopata kutoka mkutanoni inaonyesha vigezo," anasema Faucher, huku wachumi wakieleza shaka yao dhidi ya hali halisi ya sera za Rais mpya, Donald Trump.
Inaelezwa kwamba katika kipindi kifupi kilichopita, tangu Machi mwaka huu, serikali iliongeza kiwango cha riba zake mara tatu.
Pia, katika sura nyingine, inaelezwa kuwa benki zimeendelea kuwa imara katika majukumu yake ya kila siku.
Kwa miaka mingi na katika sehemu nyingi, Dola ya Marekani imekuwa marejeo cha kiwango cha mabadilishano katika fedha za dunia.
Pia, kuna fedha kama za Euro ambazo ni za Jumuiya ya Ulaya (EU) na Pauni za Uingereza, nazo zimeshika nafasi hiyo .
Friday, 26 May 2017
Home »
» Dola ya Marekani inateteleka
Dola ya Marekani inateteleka
Related Posts:
Ronaldo kushtakiwa kwa kukwepa kodi Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionChristiano Ronaldo akicheza fainali za Champion League Mamlaka nchini Uhispania zitamfungulia mashtaka nyota wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo, akishutumiwa kwa kukwepa kul… Read More
Muasi Bosco Ntaganda kutoa ushahidiHaki miliki ya pichaAFPImage captionBosco Ntaganda maarufu 'Terminator' Aliyekua kiongozi wa waasi nchini Congo, Bosco Ntaganda anatarajiwa kutoa ushahidi leo katika mahakama ya kimatafa ya ICC. Ntaganda aliyepewa jina la 'T… Read More
Kutoka Forbes: Wasanii na wachezaji matajiri zaidi duniani watajwaHaki miliki ya pichaPA/GETTYImage captionBeyonce na JK Rowling ndio wanawake pekee katika 10 waliopata pesa nyingi zaidi Jarida la Forbes limetoa orodha ya watumbuizaji wanaolipwa pesa nyingi zaidi duniani, Sean "Diddy" Combs… Read More
Everton kumsajili PickfordHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionKipa wa Sunderland Jordan Pickford Klabu ya soka ya Everton imefikia makubaliano ya kumsajili kipa Jordan Pickford kutoka klabu ya Sunderland kwa dau pauni milioni 30. Pickford, k… Read More
TAMBUA:Aspirin ni hatari kwa watu wenye umri mkubwaHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionVidonge vya Aspirin ni hatari kwa watumiaji wa umri wa zaidi ya miaka 75 Watu walio na umri wa zaidi ya miaka 75 ambao hutumia dawa aina ya Aspirin baada ya kupata kiharusi au mara… Read More
0 comments:
Post a Comment