Wastara afunguka kwa Uchungu Kuhusu Zari Kutukanwa:
From @wastara84 - Ukimuona nyani kazeeka na bado anaishi ujue kakwepa mishale mingi saana mtanisamehe kwa masamiati huu
Lakini mim ni mama sijawahi kusahau uchungu wa mwana na wala sijamsahau aliyenifanya niitwe mama lakini usiniulize kwanin sipo na niliyezaa nae ni mambo binafsi sana sio lazima kila mtu ajue
Lakini akifa nitaenda na ikibidi kulia nitalia sababu alikuwa na bado atakuwa baba wa watoto wangu.....
Lakini why why why mtu atukanweee weee asemwee kipindi kibaya cha uchngu na mawazo kama hiki hivi jamani mnajua kufiwa kweli wenzangu mbona hili la zari kutukanwa limenishinda kabsa kuvumulia...
Mtazameni huyo mtoto mdogo kwenye pic anamtazama babaake kwenye pic aliyoishika huku akitabasam utafikiri anasema baba upo umeenda kutembea siku moja utaludi tuu
Pangine
Ajui hta maana kufa ailewi aelewi maskini
Acheni basi fikirieni machungu yenu mpate hata robo ya maumivu wanayopata viumbe hawa #kufaanapesaavifanani
Pole wafiwa @zarithebosslady
Mungu amlaze mahali pema ivan ameen
source:muungwana
Tuesday, 30 May 2017
Home »
» Wastara awajia juu wanaomtukana Zari
Wastara awajia juu wanaomtukana Zari
Related Posts:
Dwayne 'The Rock' Johnson kuwania urais Marekani mwaka 2020?Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionMwigizaji na mwanamiereka Dwayne 'The Rock' Johnson Dwayne 'The Rock' Johnson kuwania urais mwaka 2020? Dwayne 'The Rock' Johnson alitangaza kuwa atawania urais wa Marekani mwaka … Read More
Kiongozi wa Iran aikosoa vikali Saudi ArabiaHaki miliki ya pichaAFPImage captionKiongozi wa Iran Ayatollah Ali Khamenei Kiongozi wa kidini nchini Iran , Ayatollah Ali Khamenei, ametoa matamshi makali dhidi ya hasimu wake Saudi Arabia. Akihutubia waumini wa dini ya kii… Read More
Madai ya mipango ya Rais Zuma kuhamia Dubai yaibuka Afrika Kusini Haki miliki ya pichaREUTERSImage captionJe, Rais Zuma ana mipango ya kuhamia Dubai? Nchini Afrika kusini kashfa mpya inatokota inayozingira madai ya rais Jacob Zuma ya kuzingatia kuhamia Dubai. Barua pepe hizo zimechapishw… Read More
Trump na Macron walisamiana vipi Brussels?Haki miliki ya pichaREUTERSImage captionTrump na Macron walisamiana vipi Brussels? Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron amekiri kuwa, mkono wa nguvu aliompa Rais Donald Trump katika mkutano wa NATO mjini Brussels siku ya Alhamis… Read More
Kutana na mbuzi wanaopanda juu ya miti nchini Morocco Mbuzi hawa hupanda juu ya miti kujitafutia chakula GETTY IMAGES Mbuzi huu anakula, ufarikiri yuko wapi GETTY IMAGES Yuko juu ya mti . Maneo kama haya ya Morocco mbuzi hupanda juu ya mti kujitafutia chak… Read More
0 comments:
Post a Comment