Mbunge wa Geita Vijini Joseph Msukuma (CCM) ameliomba Bunge kuazimia kutoa rambirambi kutokana na vifo vya watoto 10 vilivyotokea jimboni kwake vilivyosababishwa na mvua zilizonyesha mwishoni mwa wiki.
Ombi hilo limesababisha 'zogo' bungeni huku baadhi ya watunga sheria hao kusema hawatakubali kukatwa posho zao kwa kuwa rambirambi zimekuwa zikielekezwa kutekeleza miradi ya Serikali.
Katika hatua nyingine Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imepokea kwa huzuni na simanzi kubwa tukio la watoto 24 wanafunzi wa shule ya msingi kuzama majini na watatu kati yao kufa maji wakati wakitoka shuleni katika Kijiji cha Butwa, wilayani Geita.
Wednesday, 24 May 2017
Home »
» Wabunge Wakataa Kutoa Rambirambi Nyingine.
Wabunge Wakataa Kutoa Rambirambi Nyingine.
Related Posts:
BAADA YA KUISHINDWA KOREA KASKAZINI:Marekani kuwawekea vikwazo washirika wa kibiashara wa Korea KaskaziniHaki miliki ya pichaREUTERSImage captionRex Tillerson Marekani inasema itaziwekea vikwaza nchi ambazo zinafanya biashara haramu na Korea Kaskazini, kwa mujibu wa waziri wa mashuri ya nchi za kigeni Rex Tillerson Alisema kuwa… Read More
Muasi Bosco Ntaganda kutoa ushahidiHaki miliki ya pichaAFPImage captionBosco Ntaganda maarufu 'Terminator' Aliyekua kiongozi wa waasi nchini Congo, Bosco Ntaganda anatarajiwa kutoa ushahidi leo katika mahakama ya kimatafa ya ICC. Ntaganda aliyepewa jina la 'T… Read More
Mwanafunzi mgonjwa mmarekani aliechiliwa kutoka Korea Kaskazini alazwa hospitaliniHaki miliki ya pichaREUTERSImage captionWarmbier alikuwa amehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela na kazi ngumu Mwanafunzi raia wa Marekani ambaye aliachiliwa kutoka gerezani nchini Korea Kaskazini, amepelekwa hospitalini nchini… Read More
TAMBUA:Aspirin ni hatari kwa watu wenye umri mkubwaHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionVidonge vya Aspirin ni hatari kwa watumiaji wa umri wa zaidi ya miaka 75 Watu walio na umri wa zaidi ya miaka 75 ambao hutumia dawa aina ya Aspirin baada ya kupata kiharusi au mara… Read More
Kutoka Forbes: Wasanii na wachezaji matajiri zaidi duniani watajwaHaki miliki ya pichaPA/GETTYImage captionBeyonce na JK Rowling ndio wanawake pekee katika 10 waliopata pesa nyingi zaidi Jarida la Forbes limetoa orodha ya watumbuizaji wanaolipwa pesa nyingi zaidi duniani, Sean "Diddy" Combs… Read More
0 comments:
Post a Comment