Mwanamuziki wa miondoko ya RnB bongo, Ben Pol amejibu ‘diss’ ya Baraka The Prince kuhusu ujio wa wimbo wake mpya na kusema kuwa amesha msamehe siku nyingi, kabla hata hamjamkosea huku akiongeza kwamba anajitahidi kumsaidia msanii huyo akue.
Ben ameeleza hayo kupitia kipindi cha eNewz kinachorushwa na EATV na kusema anafahamu kuwa baadhi ya vitu haviko sawa kwa Baraka ndiyo maana hashangai hata akiwa anamkosea na kuiponda kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la tatu.
“Baraka mimi nilishasemaga nimemsamehe hata kabla hajanikosea, sisubiri anikosee ili nimsamehe hata siku moja kwa kuwa kuna vitu najua haviko sawa kwake....Kwa hiyo nimeshasema sijishughulishi nategemea chochote kile kutoka kwake” alisema Ben Pol.
Pamoja na hayo, Ben aliendelea kufunguka kwa kusisitiza baadhi ya mambo kwa kusema “Baraka ni mdogo wetu tunamsaidia pia akue…..hatujatengana kabisa na Baraka yaani hakuna utengano wowote. Mimi na Jux ndiyo tuliwaza mwanzo tuanzishe umoja flani tuwe tunafanya ‘shows’, tuna invite marafiki zetu wanatu-join tunafanya nao kazi ambapo tumeshamu- win Baraka, Vanessa, Joh Makini' - Ben Pol aliongeza
Friday, 26 May 2017
Home »
» Ben Pol amjibu Baraka The Prince
Ben Pol amjibu Baraka The Prince
Related Posts:
Marufuku ya uuzaji wa nyama ya mbwa yasababisha wasiwasi China Sherehe ya kula nyama ya mbwa nchini China ilio na umaarufu kwa ukatili wa wanyama mwaka huu itapigwa marufuku kuuza nyama ya mbwa. Ulaji wa mbwa nchini China sio haramu na wauzaji wa nyama hiyo tayari wameanza kulalamikia… Read More
Majasusi wa Marekani wauwawa na China Gazeti la New York Times limeripoti kuwa China, imewauwa au kuwafunga jela majasusi kati ya 18 au 20 hivi wa CIA, katika kipindi cha miaka miwili iliyopita na kulemaza kabisa shughuli za Marekani za kuichunguza China. Afis… Read More
SIMU YAMPONZA:Mwanamume amshtaki mwanamke aliyetumia simu akichumbiwa MarekaniHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES Mwanamume mmoja katika jimbo la Texas, Marekani anadaiwa kuwashtaki mwanawake ambao aliyekuwa amemlipia wakatazame sinema walipokuwa wanachumbiana lakini akaanza kutumia simu yake kutuma ujumb… Read More
Mgahawa wakumbwa na habari bandia za kuuza ''nyama ya binadamu'' Image captionMkahawa wakumbwa na habari bandia za kuuza ''nyama ya binadamu'' Mgahawa mmoja mjini London umekumbwa na habari bandia za kuuza nyama ya mtu. Wafanyiakazi katika mgahawa wa Karri Twist katika eneo la New Cross… Read More
Korea Kaskazini yalifanyia majaribio kombora lingine Ndege mbili za kijeshi za China zimeizuia 'vibaya' ndege ya Marekani kulingana na jeshi la Marekani. Ndege hiyo inayohusika na kufanya uchunguzi, ilikuwa katika safari yake ya kutaka kugundua mionzi katika anga ya kimataif… Read More
0 comments:
Post a Comment