Thursday, 25 May 2017

Jackline Wolper: Diamond ni zaidi ya mpenzi wangu

Jackline Wolper

Muigizaji Jackline Wolper amesema yeye na msanii Diamond Platnumz wana uhusiano wao ambao ni kiwango cha juu kwani wamekuwa wakishirikiana katika mambo mengi.

Katika segment ya kikaongoni inayorushwa na EATV (facebook) inayotoa fursa kwa watu kumuuliza mgeni maswali, moja ya swali lilitaka kujua ni iwapo Wolper alishakuwa na uhusiano wa kimapenzi na Alikiba, Jux, Ray Kigosi na Diamond Platnumz.

“Alikiba ndiyo, Jux alikuwa rafiki yangu wa karibu, Ray Kigosi yule ni kaka yangu namuheshimu sana, Diamond tuna mahusiano zaidi ya kimapenzi, yaani kikazi.

“Diamond tuna mahusiano mengi sana zaidi hata ya kimapenzi, ni bosi wangu, rafiki yangu, mshauri wangu, yaani na mahusiano nae mengi, umenielewa?, kikazi na vitu vingi,” amejibu Wolper.

Katika hatua nyingine muugizaji huyo amesema kinachomzuia kufanya movie na wasanii wa nje ni kutojua kingereza kwa ufasaha zaidi kitu ambacho ameanza kukifanyia kazi.

“Na wish kufanya hivyo lakini kidogo lugha gongano, ndio maana kuna mwalimu wangu huwa anakujaa kila saa 10 pale ofisini kwa hiyo sasa hivi kidogo naprove, kujua lugha kikweli hiyo ndio dream yangu sana kwa sababu kuna wasanii wa nje nawapenda na ninaamini naweza kufanya nao kazi, kwa hiyo nikiwa kwenye zile level zile za juu nitafanya,” ameleeza Wolper.

Related Posts:

  • Professa Muhongo amemuibua Kafulila Alikuwa Mbunge Kigoma Kusuni,  David Kafulila ameibuka na kutoa kauli yake maamuzi yaliyofanywa na Rais Magufuli baada ya kupokea ripoti ya Kamati Maalum kuhusiana na uchunguzi wa makontena 272 ya makinikia yaliyokuwa … Read More
  • Ratiba ya Sportpesa Super Cup Sport Pesa Cup 5/6 Singida united Vs FC leopardYanga Vs Tusker fc6/5 Simba Vs Nakuru All StarJang`ombe boys vs Gor mahiaNusu fainali tarehe 8Bingwa wa mechi kati ya Singida united vs AFC leopard atacheza na bingwa kati ya… Read More
  • Kutana na Msikiti unaojengwa ila mafundi hawaonekani Uliwahi kusikia jengo linalojengwa kwa muda mrefu zaidi na mafundi hawaonekani, iwe usiku au mchana jengo linazidi kupanda juu, pia ata magari ya kubeba kokoto, mchanga hata matofari yasionekane...!!! Hii ni mpya kutok… Read More
  • "Manji anatikisa kibiriti" Katibu wa baraza la wazee wa Yanga Mzee Ibrahim Akilimali amesema, huenda kujiuzulu kwa mwenyekiti wa klabu hiyo Yusuf Manji ni kutikisa kibiriti tu lakini atarejea tena kwenye nafasi yake kwa sababu tayari alishawahi kuta… Read More
  • Meri ya kivita ya Marekani imeonakana karibu na visiwa vya Uchina Maafisa wa Marekani wanasema manowari ya wanamaji wa Marekani imetekeleza oparesheni maalum ya 'uhuru wa ubaharia' karibu na visiwa vinavyozozaniwa vya bahari ya kusini mwa china. Oparesheni hiyo karibu na kisiwa kimoja… Read More

0 comments:

Post a Comment