Hospitali ya Mercy ya Marekani, imebainisha kuwa huenda watoto wawili majeruhi wa ajali ya gari la Shule ya Lucky Vincent wakaruhusiwa kutoka hospitali wakati wowote kuanzia kesho.
Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ameandika leo, Alhamisi kwenye ukurasa wake wa Facebook kuwa huenda watoto Sadia Ismael na Wilson Tarimo wakaruhusiwa.
“Hali za watoto hawa wawili zimesemekana kuimarika kuruhusu wapelekwe kwenye kituo maalumu kwa uangalizi wa karibu na kufanyiwa mazoezi ya viungo ambako wataendelea kukaa na kuhudumiwa.”
“Mtoto Doreen ataendelea kuwepo hospitali katika wodi ya watoto akiendelea kupata huduma za karibu hadi itakapoamuliwa vinginevyo,”ameandika Nyalandu.
source:muungwana
Thursday, 25 May 2017
Home »
» Nyalandu: Majeruhi wa Lucky Vicent kuruhusiwa Hospotali kesho
Nyalandu: Majeruhi wa Lucky Vicent kuruhusiwa Hospotali kesho
Related Posts:
Daktari wa upasuaji matiti afungwa jela miaka 15 Daktari wa upasuajia wa matiti Ian Paterson amefungwa jela miaka 15 kwa kufanya upasuaji usio muhimu. Paterson, mwenye umri wa miaka 59, aliwafanyia upasuaji wanawake tisa na mwanamume mmoja baada ya kuwadanganya k… Read More
PICHA: Kwa mara ya kwanza Rayvanny amempost mtoto wake na Ujumbe mzito Mwimbaji staa wa Bongofleva kutoka WCB Rayvanny leo May 31, 2017 kupitia account yake ya Instagram kwa mara ya kwanza amepost picha ya mtoto wake Jaydan ikiwa ni kumtambulisha kwa mashabiki wake. Rayvanny aliandika… Read More
HATIMAYE:Niko tayari kuondoka Barcelona- Iniesta Nohodha wa Barcelona, Andres Iniesta bado ana ndoto za kuzeekea kwenye Liga ya La Liga, huku akisema kwamba iwapo atatakiwa kuondoka yupo tayari kufanya hivyo. Iniesta mwenye miaka 33 mkataba wake unamalizika katikati… Read More
BAADA YA KIFO:ndugu wataka uchunguzi kifo cha Ndesamburo Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kilimanjaro, Mzee Philemone Ndesamburo amefariki Dunia asubuhi ya leo katika Hospitali ya KCMC, Mkoani humo.Katib… Read More
Imevujaa!! Kumbe John Bocco alikuwa anahitajika Azam Golikipa namba moja wa Azam FC Aishi Manula amesema, John Bocco ‘Adebayor’ bado alikuwa anahitajika ndani ya kikosi cha Azam. Manula amesema, licha ya timu yake kusajili wachezaji wengi wa kigeni miaka ya hivi karibuni … Read More
0 comments:
Post a Comment