Tuesday, 23 May 2017
Home »
» Alberto Msando ajiuzulu Ushauri wa chama cha Act-Wazalendo
Alberto Msando ajiuzulu Ushauri wa chama cha Act-Wazalendo
Mkuu wa Chama Cha Act-Wazalendo Zitto Kabwe amethibitisha kupokea barua ya kujiuzulu kwa mshauri mteule wa Chama hicho Albarto Msando.
"Nimepokea barua ya Wakili Albert G. Msando kuomba kujiuzulu nafasi yake ya Ushauri wa Chama chetu cha ACT Wazalendo".
Zitto amesema kuwa Msando anawajibika Kwani anapaswa, nanukuu "kuishi Kama mfano Kwa jamii inayonizunguka".
Ndugu Albert Msando amekuwa kiongozi mwenye mchango mkubwa katika chama katika nafasi mbalimbali alizoshika ndani ya chama. Chama kinamshukuru kwa moyo wake wa kuzalendo na mchango alioutoa katika Chama. Ni matumaini yetu ataendelea kushirikiana nasi katika ujenzi wa chama kwa kadri atakavyoweza na atakapohitajika kama mwanachama.
Nikiwa Kiongozi wa Chama nimekubali kuwajibika kwake na kumtakia kheri katika kujisahihisha kwake.
Ndugu Msando Alberto ameomba msamaha Kwa jamii kwa uwazi na ni wajibu wetu kumsaidia kupita katika mitihani iliyomkumba.
Related Posts:
Hizi ndizo adhabu za watuhumiwa wa Makinikia wakikutwa na hatia BAADHI ya wanasheria, wabunge waliomo katika kamati inayoshughulikia sheria na katiba na pia wachambuzi wa masuala ya kisheria, walisema kuwa yeyote miongoni mwa wanaochunguzwa sasa na vyombo vya dola anaweza kukumbana n… Read More
Wahamiaji 1000 waokolewa pwani ya LibyaImage captionWahamamiaji huwa na imani ya kupata maisha bora zaidi Ulaya Vikosi vya uokoaji vinavyofanya kazi katika pwani ya Libya vimeokoa zaidi ya wahamiaji elfu moja kwa siku moja. Walikuwa katika boti dogo lililokuwa li… Read More
Wamiliki wa Makentena ya Magogo yaliyonaswa bandarini kufikishwa Kortini SERIKALI inaendelea kuchunguza wamiliki wa Makontena matano ya magogo yaliyokamatwa bandarini mwaka juzi, kuwafikisha mahakamani.Shehena hiyo ya magogo ya mti aina ya Mkulungu ilikamatwa Novemba 5, 2015 yakion… Read More
Wasichana waliojifanya Waislamu wakamatwa NigeriaHaki miliki ya pichaAFPImage captionVazi la Hijab ni haki kwa wasichana wa Kiislamu kulivaa Wasichana saba waliojifanya kuwa Waislamu kwa kuvaa vazi la hijab wamekamatwa nchini Nigeria kwa kujaribu kufanya safari haramu ya ba… Read More
Takukuru: Tunaendelea Kuwahoji watuhumiwa wa Makinikia TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru imesema kuwa inaendelea kuwahoji watuhumiwa wote walitajwa kwenye sakata la kusafirisha Makinikia ya madini nje ya nchiOfisa Habari wa (Takukuru), Mussa Misalaba, ames… Read More
0 comments:
Post a Comment