Tuesday, 16 May 2017

Majaji wawili wa Mahakama Kuu waacha kazi Tanzania

Rais Magufuli ameridhia maombi ya watatu hao kutaka kuacha kazi
Rais Magufuli ameridhia maombi ya watatu hao kutaka kuacha kazi
Majaji wawili wa Mahakama Kuu nchini Tanzania wameacha kazi, kwa mujibu wa taarifa kutoka ikulu.
Taarifa hiyo inasema majaji Aloysius Kibuuka Mujulizi na Upendo Hillary Msuya wamewasilisha maombi ya kuacha kazi kwa rais, ambayo yamekubaliwa.
Jaji Mujulizi alikuwa pia mwenyekiti wa tume ya kurekebisha sheria Tanzania.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Saidi Meck Sadiki pia ameacha kazi.
Taarifa ya ikulu haijaeleza sababu iliyowafanya maafisa hao watatu kuamua kuomba kuacha kazi.
source:bbc

Related Posts:

  • Kambi ya Upinzani Bungeni uvunjwe MBUNGE wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbles Lema (Chadema), amelitaka Bunge kuvunja Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kutokana na maoni ya kambi hiyo kutosikilizwa.Lema amedai kuna kuchujwa kwa maneno yanayochangiwa na wabunge w… Read More
  • Ndugai amkumbuka kwa majonzi Ndesamburo Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema anamkumbuka marehemu Phillemon  Ndesamburo aliyekuwa mbunge wa Moshi  Mjini (Chadema) kwa uchapakazi wake na mapenzi yake makubwa kwa wapiga kura wake.“Nimepokea kwa masikitiko t… Read More
  • Rais Magufuli amlilia Mwasisi wa Chadema Rais John Magufuli amepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha  mmoja wa waasisi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema) Phillemon Ndesamburo huku akimtaja marehemu kuwa alikuwa kiongozi mwenye hekima na aliyez… Read More
  • Vifaru vya Urusi vinavyotia wasiwasi mataifa ya Nato barani Ulaya Haki miliki ya pichaAFPImage captionArmata ni kifaru cha kisasa ambacho kinachukua nafasi ya vifaru vya enzi za muungano wa Usovieti Urusi imeunda vifaru vipya ambavyo vimeifanya Norway kuanza kufikiria upya mfumo wake wa k… Read More
  • Mbunifu wa Android azindua simu mpya ya EssentialHaki miliki ya pichaESSENTIAL PHONEImage captionSinu ya Essential hutumia mfumo wa Android na imeanza kuuzwa nchini Marekani kwa dola $699. Andy Rubin, ambaye ni miongoni mwa watu waliobuni programu ya software Android ya Goo… Read More

0 comments:

Post a Comment