Jana tarehe 28/6/2017 Chuo kikuu kishiriki cha AJUCO ambacho ni Tawi la SAUT ulifanyika uchaguzi wa kuwapata wabunge na Rais watakao hudumu kwa kipindi cha mwaka mmoja. Wagombe wengi walijitokeza kuwania nafasi za ubunge lakini kwa upande wa Urais hali ilikuwa ngumu sana kwani wagombea watatu wa kinyang'nyilo cha urais walipatikana watatu tu ambao ni Mr. January, Mr. Adam na Lomituni, ambao baada ya mchujo Mr. January na Mr. Adam ndyo...
Thursday, 29 June 2017
Sunday, 25 June 2017
Mbwa mwenye sura mbaya zaidi duniani atajwa

Haki miliki ya pichaEPAImage captionMartha, ametajwa kuwa mbwa mwenye sura mbaya zaidi duniani.
Martha, ametajwa kuwa mbwa mwenye sura mbaya zaidi duniani.
Shindano la kila mwaka ambalo sasa liko katika mwaka wake wa 29 lilifanyika katika eneo la Petalum mjini Carlifornia.
Martha anayemilikiwa na Shirly Zindler aliwashinda wapinzani 13 na kupewa taji na pesa taslimu dola...
Saturday, 24 June 2017
JIFUNZE HIKI: DOWNLOAD MOVIES NA MUSICS BURE YOUTUBE BILA KUWA NA DOWNLOADER YEYOTE
JINSI YA KUDOWNLOAD VIDEO YEYOTE YOUTUBE BILA KUWA NA DOWNLOADER YEYEOTE
1) Go to www.youtube.com.
Open the page of the video you want to download.
2) Add "ss" between the www. and the
youtube.com section of the URL and hit enter.
Example:
Original YouTube URL:
http://www.youtube.com/watch?v=ykF-rktutV4&list=CLTaJ1PHDR84I&feature=plcp
Modified YouTube URL:
http://www.ssyoutube.com/watch?v=ykF-rktutV4&list=CLTaJ1PHDR84I&feature=plcp
3)...
Monday, 19 June 2017
Watu wenye silaha washambulia eneo la watalii Mali

Haki miliki ya pichaREUTERSImage captionLe Campement Kangaba, eneo lililoshambuliwa
Vyombo vya Usalama nchini Mali vinasema vimeokoa zaidi ya wageni thelathini kutoka katika kituo kimoja cha Utalii, kilichokuwa kikishambuliwa na watu waliokuwa na silaha.
Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo Salif Traore amethibitisha kuuawa kwa watu wawili, baada ya watu wanaohisiwa kuwa ni wapiganaji...
Marekani yatoa majina ya wanajeshi waliouwawa baharini

Haki miliki ya pichaREUTERSImage captionAjali hiyo ilisababisha shimo kubwa kweny meli ya kijeshi
Marekani imetangaza majina ya wanajeshi wake 7 ambao waliuawa wakati meli yao iligongana na ile ya mizigo katika eneo la bahari ya Japan siku ya Jumamosi.
Wanjeshi hao walipatikana katika maneo yaliyokuwa yamefurika maji ndani ya meli hiyo ya kivita ya USS Fitzgerald.
Ajali...
Marekani yashambulia na kuiangusha ndege ya jeshi la Syria

Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionNdege sawa na hii yaA F/A-18E Super Hornet ya Syria ndiyo iliangushwa
Muungano unaoongozwa na Marekani nchini Syria umeangusha ndege ya jeshi la Syria katika mkoa wa Raqqa.
Jeshi la Syria lilisema kuwa ndege yake ya kijeshi ilikuwa katika harakati za kushambulia kundi la Islamic State wakati ilishambuliwa siku ya Jumapili.
Imesema...
Tambua Madhara ya Ulaji wa Chipsi

Chips ni aina ya chakula ambacho hupendwa na watu wengi na pia ni miongoni mwa vyakula vyenye mafuta mengi. chips pia inasemekana ni miongoini mwa vyakula ambavyo hupikwa katika joto la juu zaidi ya 300 degree.Chips ni chakula chenye mafuta mengi na mafuta yanapoingia mwilini huenda kuzunguka sehemu ya mwili wa mwanadamu. kama ni mtu ambaye mazoezi pia hufanyi madhara yake...
Mwanajeshi wa Korea Kaskazini ahamia K. Kusini kwa kuogelea

Mwanajeshi mmoja wa Korea Kaskazini ametorokea Korea Kusini kupitia kuvuka mto Han kwa kuogelea ,ikiwa ni mara ya pili kwa raia wa taifa hilo kuhamia kwa majirani zao.Mkuu wa Jeshi nchini Korea Kusini amesema kuwa mwanajeshi huyo aliogelea na kupitia eneo moja jembamba sana la maji ya mto huo yalio na kasi kubwa baada ya kuvalia boya lilolomsaidia kuelea.Wiki iliopita mwanajeshi...
Ajinyonga kisa ugumu wa maisha

Kijana Paulo Ezekiel, amejinyonga kutokana na kile kinachodaiwa ugumu wa maisha.Paulo (17) alikuwa anaishi na wazazi wake Mtaa wa Mazinge Kata ya Ndembezi mjini Shinyanga, alifariki dunia juzi usiku kutokana na kudaiwa kujinyonga kwa kamba juu ya mti jirani na nyumbani kwao.Tukio hilo lilitokea majira ya saa kumi alfajiri baada ya marehemu kutoka nje ya geti la nyumba yao...
Mawaziri wawili wabanwa

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimelaumu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba na Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama kufuatia kitendo cha Jeshi la Polisi kutumia nguvu kutawanya maandamano ya watu wenye ulemavu jijini Dar es Salaam juzi.
Chama hicho pia kimemtaka Waziri Mwigulu kuiomba radhi jumuiya ya watu wenye ulemavu kutokana...
Watetezi watatu kulitetea Gazeti la Mawio

BARAZA la Habari (MCT), Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) na Umoja wa Vilabu vya Habari Tanzania (UTPC) vinakusudia kufungua kesi kwenye mahakama kupinga uamuzi wa serikali wa kulifunga gazeti la Mawio.
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ilitangaza kulifunga gazeti hilo kwa miezi 24 kuanzia Alhamisi iliyopita, kwa kuchapisha...