TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru imesema kuwa inaendelea kuwahoji watuhumiwa wote walitajwa kwenye sakata la kusafirisha Makinikia ya madini nje ya nchi
Ofisa Habari wa (Takukuru), Mussa Misalaba, amesema kuwa taasisi yao inaendelea na uchunguzi kufuatilia endapo kuna vitendo vya rushwa kwa wote waliohusika na masuala ya usafirishaji wa makinikia.
“Sisi tunaangalia rushwa iliyopo kwenye hiyo biashara kwa kuwa pale kuna wadau wengi… kuna wengine hawahusiki kwenye mikataba na wengine wapo kwenye utekelezaji. Siwezi kusema ni wangapi tumewahoji ama ambao wanatarajiwa kuhojiwa. Kazi yetu inaendelea,” alisema Misalaba.
Saturday, 17 June 2017
Home »
» Takukuru: Tunaendelea Kuwahoji watuhumiwa wa Makinikia
Takukuru: Tunaendelea Kuwahoji watuhumiwa wa Makinikia
Related Posts:
Why JPM picked non economist to head BoT PRESIDENT John Magufuli yesterday appointed a new Central Bank governor in style, breaking a norm of choosing an economist; instead, he has opted for taxation law Professor Florens Luoga. His appointment to replace Prof… Read More
Lissugate: Why we must call in foreign investigators There are still cries for justice against the culprits in Tundu Lissu’s assassination attempt. Mr Lissu is suffering from the pains inflicted on him by these criminals, who may have been hired to finish him. Since thi… Read More
Doctors in Tanzania call for centralisation of national health Dar es Salaam. The Medical Association of Tanzania (MAT) has asked the government to put in place a central coordination system that would harmonise provision of healthcare services in the country. MAT President, Dr Obadia… Read More
Raila promises to make things tough for Uhuru - The National Resistance Movement wing in the National Super Alliance has promised to pile pressure on the Jubilee government to step aside - NASA leader Raila Odinga said the opposition has several legal means to ensure Pr… Read More
Why America Must Find a Diplomatic Solution to the North Korea Crisis It should be painfully evident by now that the strategy the United States has pursued toward North Korea since the early 1990s regarding that country’s nuclear ambitionshas not worked, is not working, and is unli… Read More
0 comments:
Post a Comment