TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru imesema kuwa inaendelea kuwahoji watuhumiwa wote walitajwa kwenye sakata la kusafirisha Makinikia ya madini nje ya nchi
Ofisa Habari wa (Takukuru), Mussa Misalaba, amesema kuwa taasisi yao inaendelea na uchunguzi kufuatilia endapo kuna vitendo vya rushwa kwa wote waliohusika na masuala ya usafirishaji wa makinikia.
“Sisi tunaangalia rushwa iliyopo kwenye hiyo biashara kwa kuwa pale kuna wadau wengi… kuna wengine hawahusiki kwenye mikataba na wengine wapo kwenye utekelezaji. Siwezi kusema ni wangapi tumewahoji ama ambao wanatarajiwa kuhojiwa. Kazi yetu inaendelea,” alisema Misalaba.
Saturday, 17 June 2017
Home »
» Takukuru: Tunaendelea Kuwahoji watuhumiwa wa Makinikia
Takukuru: Tunaendelea Kuwahoji watuhumiwa wa Makinikia
Related Posts:
Ripoti ya Madini:Rais Magufuli amshauri Waziri ajiuzuluHaki miliki ya pichaGOOGLEImage captionRais wa Tanzania, Dr John Magufuli Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amemshauri waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ajiuzulu. Hii leo Magufuli alikua akipokea taarif… Read More
Bintiye Mugabe ateuliwa katika bodi ya udhibiti vyombo vya habariHaki miliki ya pichaAFPImage captionBi Chikore alihitimu katika chuo kikuu Singapore Binti wa kipekee wa rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, Bona Mugabe-Chikore, ameteuliwa katika bodi ya udhibiti vyombo vya habari na sekta ya f… Read More
Kenya kujenga jumba refu zaidi barani AfrikaHaki miliki ya pichaIKULU YA RAIS NAIROBIImage captionUhuru akianzisha jiwe la msingi la jumba refu barani Afrika Sekta ya utalii nchini Kenya imepigwa jeki baada ya rais Uhuru Kenyatta kufungua hoteli mbili mbali na kuzindua… Read More
Wabunge Wakataa Kutoa Rambirambi Nyingine. Mbunge wa Geita Vijini Joseph Msukuma (CCM) ameliomba Bunge kuazimia kutoa rambirambi kutokana na vifo vya watoto 10 vilivyotokea jimboni kwake vilivyosababishwa na mvua zilizonyesha mwishoni mwa wiki.Ombi hilo limesababish… Read More
RASMI:Magufuli amfuta kazi waziri wa nishati na madini Tanzania Sospeter MuhongoHaki miliki ya pichaIKULU, TANZANIA Rais wa Tanzania John Magufuli amemfuta kazi Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo. Taarifa kutoka ikulu imesema uamuzi huo wa Rais umeanza kutekelezwa mara moja, na kuwa nafas… Read More
0 comments:
Post a Comment