Monday 19 June 2017

Ally Mayay, Mtemi kuwania urais TFF

 MAYAY

Ally Mayay anatarajia kuchukua nafasi ya kuwania Urais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

Taarifa zinaeleza Mayay ambaye ni mchezaji wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, atachukua fomu hizo leo.

MTEMI

Wakati Mayay anachukua fomu, mshambulizi matata wa zamani wa Simba, Mtemi Ramadhani “Mangi” naye anatarajia kuchukua fomu za kuwania nafasi ya Makamu Rais wa TFF.

Imeelezwa, wachezaji hao watasindikizwa na wanasoka wa zamani wa klabu mbalimbali za soka.

0 comments:

Post a Comment