Mchezaji huyo, jana Jumanne aliandikiwa barua na akitakiwa kujibu mashtaka yaliyoandaliwa na mamlaka ya kodi mjini Pozuelo de Alorcon.
Mwanasheria wa Cristiano Ronaldo amepinga vikali tuhuma zinazoelekezwa kwa mshambuliaji huyo wa Real Madrid kuhusu kujipatia fedha nyingi bila kulipa kodi kwenye mamlaka husika nchini Hispania.
Mchezaji huyo, jana Jumanne aliandikiwa barua na akitakiwa kujibu mashtaka yaliyoandaliwa na mamlaka ya kodi mjini Pozuelo de Alorcon.
Mwanasheria huyo alisema hiyo ni mbinu ya kumchafua mshindi huyo wa Tuzo ya Ballon d’Or huku akisema amekuwa akitimiza wajibu wake kwa kulipa kodi kwa hiari.
Mashtaka yaliyoandaliwa kwake, inadai wa kwamba Ronaldo amekuwa akijitengeneza fedha nyingi tangu kupitia matangazo ya picha zake kuanzia mwaka 2011 na 2014.
Taarifa iliyotolewa na mwanasheria huyo inaeleza kwamba Ronaldo amekuwa akishirikiana vyema na mamlaka za kodi. Hata hivyo kiasi kilichotajwa wakae chini kujadiliana, lakini hakuna njama zozote kwa mchezaji huyo kukwepa kodi.
Wednesday, 14 June 2017
Home »
» SOMA: Ronaldo alivyojitetea kuhusu tuhuma za ukwepaji kodi
SOMA: Ronaldo alivyojitetea kuhusu tuhuma za ukwepaji kodi
Related Posts:
Kutana na Msikiti unaojengwa ila mafundi hawaonekani Uliwahi kusikia jengo linalojengwa kwa muda mrefu zaidi na mafundi hawaonekani, iwe usiku au mchana jengo linazidi kupanda juu, pia ata magari ya kubeba kokoto, mchanga hata matofari yasionekane...!!! Hii ni mpya kutok… Read More
Meri ya kivita ya Marekani imeonakana karibu na visiwa vya Uchina Maafisa wa Marekani wanasema manowari ya wanamaji wa Marekani imetekeleza oparesheni maalum ya 'uhuru wa ubaharia' karibu na visiwa vinavyozozaniwa vya bahari ya kusini mwa china. Oparesheni hiyo karibu na kisiwa kimoja… Read More
Nyalandu: Majeruhi wa Lucky Vicent kuruhusiwa Hospotali kesho Hospitali ya Mercy ya Marekani, imebainisha kuwa huenda watoto wawili majeruhi wa ajali ya gari la Shule ya Lucky Vincent wakaruhusiwa kutoka hospitali wakati wowote kuanzia kesho.Mbunge wa Singida Kaskazini, La… Read More
"Manji anatikisa kibiriti" Katibu wa baraza la wazee wa Yanga Mzee Ibrahim Akilimali amesema, huenda kujiuzulu kwa mwenyekiti wa klabu hiyo Yusuf Manji ni kutikisa kibiriti tu lakini atarejea tena kwenye nafasi yake kwa sababu tayari alishawahi kuta… Read More
Professa Muhongo amemuibua Kafulila Alikuwa Mbunge Kigoma Kusuni, David Kafulila ameibuka na kutoa kauli yake maamuzi yaliyofanywa na Rais Magufuli baada ya kupokea ripoti ya Kamati Maalum kuhusiana na uchunguzi wa makontena 272 ya makinikia yaliyokuwa … Read More
0 comments:
Post a Comment