Tuesday, 13 June 2017

Ronaldo kushtakiwa kwa kukwepa kodi



Christiano Ronaldo akicheza fainali za Champion LeagueHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionChristiano Ronaldo akicheza fainali za Champion League
Mamlaka nchini Uhispania zitamfungulia mashtaka nyota wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo, akishutumiwa kwa kukwepa kulipa kodi kiasi cha doa za kimarekani milioni 16.5.
Waendesha mashtaka wamedai kuwa kodi ni kuanzia mwaka 2011 mpaka 2014 na inahusu mapato ya nje na uwanja na haki za picha zake
Mwezi Desemba, nyaraka zilizovuja zilieleza kuwa Cristiano Ronaldo amekwepa kodi kutokana na kipato chake kuwekwa kuwekwa kwenye akaunti za nje ya hispania
Ronaldo amekana shutuma hizo. Na msemaji wa wakala wa mchezaji huyo alisema mwezi uliopita kuwa mchezaji huyo hakuwa na chochote cha kuficha.

SOURCE:BBC

Related Posts:

  • Ajinyonga kisa ugumu wa maisha Kijana Paulo Ezekiel, amejinyonga kutokana na kile kinachodaiwa ugumu wa maisha.Paulo (17) alikuwa anaishi na wazazi wake Mtaa wa Mazinge Kata ya Ndembezi mjini Shinyanga, alifariki dunia juzi usiku kutokana na kudaiwa kuji… Read More
  • Tambua Madhara ya Ulaji wa Chipsi Chips ni aina ya chakula ambacho hupendwa na watu wengi na pia ni miongoni mwa vyakula vyenye mafuta mengi. chips pia inasemekana ni miongoini mwa vyakula ambavyo hupikwa katika joto la juu zaidi ya 300 degree.Chips ni chak… Read More
  • Mawaziri wawili wabanwa CHAMA cha ACT-Wazalendo kimelaumu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba na Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama kufuatia kitendo cha Jeshi la Polisi kutumia nguvu kutawanya ma… Read More
  • Marekani yashambulia na kuiangusha ndege ya jeshi la SyriaHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionNdege sawa na hii yaA F/A-18E Super Hornet ya Syria ndiyo iliangushwa Muungano unaoongozwa na Marekani nchini Syria umeangusha ndege ya jeshi la Syria katika mkoa wa Raqqa. Jeshi … Read More
  • Mwanajeshi wa Korea Kaskazini ahamia K. Kusini kwa kuogelea Mwanajeshi mmoja wa Korea Kaskazini ametorokea Korea Kusini kupitia kuvuka mto Han kwa kuogelea ,ikiwa ni mara ya pili kwa raia wa taifa hilo kuhamia kwa majirani zao.Mkuu wa Jeshi nchini Korea Kusini amesema kuwa mwanajesh… Read More

0 comments:

Post a Comment