MKALI wa Ngoma ya Hela, Hamad Ally ‘Madee’ amewashangaa baadhi ya mastaa ambao katika Mwezi wa Mfungo wa Ramadhani wamekuwa na utamaduni wa kutoa vitu kwa jamii na kupiga picha kisha kujionesha kwenye mitandao ya kijamii kitu ambacho siyo sawa na matakwa ya Dini ya Kiislamu.
Akipiga stori na Show Biz, Madee alisema, kwa upande wake suala la kujitoa kwa jamii inayomzunguka ndiyo limemfi kisha katika mafanikio hayo aliyonayo na kuwa hufanya hivyo mara kwa mara na hata pale anapofanya hawezi kujinadi kwenye mitandao ya kijamii kama baadhi ya wasanii wanavyofanya.
“Unajua katika Dini ya Kiislamu hatujaelezwa kutoa na kujinadi kwenye mitandao ya kijamii.
Tumetakiwa kutoa kwa moyo. Sasa kwa upande wangu huwa ninawashangaa sana baadhi ya mastaa ambao wakitoa misaada basi kwao hiyo ndiyo inakuwa kiki.
“Kiukweli si sawa na wanatakiwa kubadilika maana huko mitaani kuna watu wengi mno wanatoa lakini hawajitangazi kama wao,” alimaliza Madee.
Tuesday, 13 June 2017
Home »
» Madee Awashangaa Mastaa Wapenda Kiki
Madee Awashangaa Mastaa Wapenda Kiki
Related Posts:
Hizi ndizo adhabu za watuhumiwa wa Makinikia wakikutwa na hatia BAADHI ya wanasheria, wabunge waliomo katika kamati inayoshughulikia sheria na katiba na pia wachambuzi wa masuala ya kisheria, walisema kuwa yeyote miongoni mwa wanaochunguzwa sasa na vyombo vya dola anaweza kukumbana n… Read More
Wamiliki wa Makentena ya Magogo yaliyonaswa bandarini kufikishwa Kortini SERIKALI inaendelea kuchunguza wamiliki wa Makontena matano ya magogo yaliyokamatwa bandarini mwaka juzi, kuwafikisha mahakamani.Shehena hiyo ya magogo ya mti aina ya Mkulungu ilikamatwa Novemba 5, 2015 yakion… Read More
Takukuru: Tunaendelea Kuwahoji watuhumiwa wa Makinikia TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru imesema kuwa inaendelea kuwahoji watuhumiwa wote walitajwa kwenye sakata la kusafirisha Makinikia ya madini nje ya nchiOfisa Habari wa (Takukuru), Mussa Misalaba, ames… Read More
Bungeni hapatoshi Sakata la Makinikia BUNGE limeingia siku ya nne jana kujadili Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2017/18, huku wabunge kadhaa wakiraruana kuhusu ripoti ya pili ya kamati iliyoundwa na Rais Dk. John Magufuli, kuhusu mchanga wa dhahabau (makinikia)… Read More
Mbunge ataka Zitto, Kafulila waombwe radhi kuhusu Sakata la Makinikia Akichangia mjadala huo wa bajeti, Mbunge wa Viti Maalum, Riziki Ngwali (CUF) alisema wabunge warudi majimboni wakaombe radhi wananchi kwani wao ndiyo walipitisha sheria za madini. “Tuliapa kwa kushika kurani na biblia, kur… Read More
0 comments:
Post a Comment