MKALI wa Ngoma ya Hela, Hamad Ally ‘Madee’ amewashangaa baadhi ya mastaa ambao katika Mwezi wa Mfungo wa Ramadhani wamekuwa na utamaduni wa kutoa vitu kwa jamii na kupiga picha kisha kujionesha kwenye mitandao ya kijamii kitu ambacho siyo sawa na matakwa ya Dini ya Kiislamu.
Akipiga stori na Show Biz, Madee alisema, kwa upande wake suala la kujitoa kwa jamii inayomzunguka ndiyo limemfi kisha katika mafanikio hayo aliyonayo na kuwa hufanya hivyo mara kwa mara na hata pale anapofanya hawezi kujinadi kwenye mitandao ya kijamii kama baadhi ya wasanii wanavyofanya.
“Unajua katika Dini ya Kiislamu hatujaelezwa kutoa na kujinadi kwenye mitandao ya kijamii.
Tumetakiwa kutoa kwa moyo. Sasa kwa upande wangu huwa ninawashangaa sana baadhi ya mastaa ambao wakitoa misaada basi kwao hiyo ndiyo inakuwa kiki.
“Kiukweli si sawa na wanatakiwa kubadilika maana huko mitaani kuna watu wengi mno wanatoa lakini hawajitangazi kama wao,” alimaliza Madee.
Tuesday, 13 June 2017
Home »
» Madee Awashangaa Mastaa Wapenda Kiki
Madee Awashangaa Mastaa Wapenda Kiki
Related Posts:
Mafuriko yasababisha shule zote kufungwa Zanzibar Shule zote katika kisiwa cha Zanzibar zimefungwa kwa muda kutokana na mvua kali ambayo imesababisha mafuriko. Waziri wa elimu katika kiswa hicho Riziki Pembe Juma amesema kuwa mvua hiyo ambayo pia imekuwa ikinyesha katika… Read More
RATIBA YA LIGI YA AJUCO AJUCSO MINISRTY OF SPORTS AND ENTERTAINMENT AJUCSO LEAGUE &n… Read More
Majaribio ya ndege mpya za Boeing yasitishwa Shirika la ndege la Boeing limesitisha kwa muda safari za kufanyia majaribio ndege yake mpya ya 737 MAX kutokana na uwezekano wa kasoro kwenye injini za ndege hizo. Hatua hiyo imechukuliwa siku chache kabla ya shirika hil… Read More
HASIRA:Mwanamke atafuna na kumeza $9,000 Colombia Noti za dola 100 Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES Mwanamke mmoja nchini Colombia alitafuna na kumeza pesa zote alizokuwa amejiwekea kama akiba, kuzuia mumewe asizichukue na kuzitumia. Sandra Milena Almeida alime… Read More
Kaburi la mwana wa Pharaoh lapatikana Misri Kaburi la miaka 3,700 la mwana wa kike wa Pharaoh linaamika kupatikana karibu na mabaki ya piramidi iliogunduliwa Misri. Wizara ya mambo ya kale imesema kuwa kaburi hilo lililopo katika eneo la kifalme la Dahshur Kusini m… Read More
0 comments:
Post a Comment