Kwikwi ni kitu cha kawaida kutokea hasa umri unavyozidi kwenda. Na mtoto mchanga yupo kwenye hatari zaidi ya kupata kwikwi, pia hata ndani ya mfuko wa kizazi kuanzia wiki ya sita mtoto huweza kupata kwikwi. Kwikwi hizi huweza kuwepo kati ya dakika moja hadi saa bila kuleta madhara yoyote kwa mtoto.
Chanzo cha kutokea kwa kwikwi kwa mtoto.
Kwikwi husababishwa na kusinyaa kwa misuli kitaalamu diaphragm(contraction or irritation of diaphragm) ambayo hutenganisha kifua na tumbo, na kwa madaktari bingwa wa watoto wanasema pia kwikwi huweza kusababishwa na aina ya vyakula, vyakula hivyo ni kama (maziwa anayonyonya kutoka kwa mama, au maziwa ya kopo) mara nyingine inaelezwa ya kwamba kutokea kwa kwikwi kwa mtoto husababishwa na na joto la mtoto linaposhuka sana.
Kwikwi huwa hatari sana pale inapotekea mara kwa mara na kutopata nafuu, na kusababisha mtoto kushindwa kunyonya, kula na kulala. Hivyo inapotekea hali hii mpe mtoto maji kidogo, huku ukimsugua mgongo. Unaweza kutumia Grip water. Mpe mtoto chakula akiwa ametulia, na jaribu kubadilisha mkao wa mtoto, na kumtuliza mtoto na hali hii inaweza kuisha.
mpe mtoto Grip water kwa kipimimo cha 0.5mm
Ukiona hali hii haiiishi ni vyema kwenda kwa daktari bingwa wa watoto mapema iwezekanavyo, ili uweze kupata msaada wa kitaalamu.
Saturday, 17 June 2017
Home »
» Fanya hivi pale mtoto mchanga anapopatwa na kwikwi.
Fanya hivi pale mtoto mchanga anapopatwa na kwikwi.
Related Posts:
Barrick in $11m loss after securing money for Tanzania Dar es Salaam. Barrick Gold Corporation has reported a net loss of $11 million in the third quarter after increasing a tax provision related to the “good will” payoff of $300 million agreed with Tanzania. The mining giant m… Read More
Lissugate: Why we must call in foreign investigators There are still cries for justice against the culprits in Tundu Lissu’s assassination attempt. Mr Lissu is suffering from the pains inflicted on him by these criminals, who may have been hired to finish him. Since thi… Read More
Why JPM picked non economist to head BoT PRESIDENT John Magufuli yesterday appointed a new Central Bank governor in style, breaking a norm of choosing an economist; instead, he has opted for taxation law Professor Florens Luoga. His appointment to replace Prof… Read More
Doctors in Tanzania call for centralisation of national health Dar es Salaam. The Medical Association of Tanzania (MAT) has asked the government to put in place a central coordination system that would harmonise provision of healthcare services in the country. MAT President, Dr Obadia… Read More
Why America Must Find a Diplomatic Solution to the North Korea Crisis It should be painfully evident by now that the strategy the United States has pursued toward North Korea since the early 1990s regarding that country’s nuclear ambitionshas not worked, is not working, and is unli… Read More
Ok
ReplyDelete