Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na mmoja wa Watu wanaoaminika kuwa ni Mbabe kama siyo Mtemi na Ngumi Jiwe wa kutukuka Kalapina jana wakati akihojiwa na Kipindi cha XXL kinachorushwa na Clouds fm aliamua kutema nyongo / kuvunja ukimya juu ya Kitendo cha Msanii mwenzake na mshikaji wake Roma Mkatoliki Kutekwa.
Kalapina ambaye anasifika mno kwa Usela / Uhuni na ukorofi ambao kiuhalisia kweli anauweza alianza kwanza kwa kumpa pole Roma Mkatoliki kwa yote yaliyomkuta ila hakusita pia kumlaumu kidogo Roma kwa kumwambia kuwa asingekubali kirahisi rahisi kubebwa na kuingizwa katika Gari na Kutekwa.
Ifuatayo ni nukuu Kuntu kabisa kutoka kwa Kalapina ambayo nadhani ni ujumbe tosha kwa Wazee wa Ununio mkabala na Mahaba Beach ( Watekaji )
“ Nakuambia Mimi nina hamu sana hao Watekaji siku wakosee tu waje waniteke Mimi kisha wajue kuwa kuna Watu tumebarikiwa kwa Ukorofi na Ukorofi tunaujua. Mimi wakija kama 10 na kutaka kuniteka basi nakuhakikishia lazima wakati wanafanikiwa kuniingiza katika Gari lao na kuniteka basi tayari name huku nyuma nitakuwa nimeshawaua Watatu au Wanne huku waliobaki nikiwaachia maumivu ya Kutukuka kabisa. Mdogo wangu Roma ulilegea sana na siku nyingine usifanye hivyo ukiona Mtu anataka kukuteka au ana nia mbaya nawe usimcheleweshe na badala yake mpe Kipondo / Kipigo pale pale “ mwisho wa kumnukuu Kalapina.
Friday, 16 June 2017
Home »
» Kalapina awapa salamu hizi waliomteka Roma Mkatoliki
Kalapina awapa salamu hizi waliomteka Roma Mkatoliki
Related Posts:
Korea Kaskazini yamwachilia huru MmarekaniHaki miliki ya pichaREUTERSImage captionWazazi wa Otto Warmbier waliohifia usalama wa mwana wao kufuatia kuongezeka kwa uhsama kati ya Marekani na Korea Kaskazini Korea Kaskazini imemwachilia huru mwanafunzi Mmarekani Otto Wa… Read More
Mwanamke ajichinja kwa chupa MWANAMKE aliyefahamika kwa jina la Saada Elias (24) mkazi wa Mtaa wa Mabambase katika Manispaa ya Shinyanga alifariki dunia kwa kujikata koromeo kwa chupa ya soda. Mwanamke huyo alijiua kwa chupa ikiwa ni muda mfupi baa… Read More
Ronaldo kushtakiwa kwa kukwepa kodi Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionChristiano Ronaldo akicheza fainali za Champion League Mamlaka nchini Uhispania zitamfungulia mashtaka nyota wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo, akishutumiwa kwa kukwepa kul… Read More
Everton kumsajili PickfordHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionKipa wa Sunderland Jordan Pickford Klabu ya soka ya Everton imefikia makubaliano ya kumsajili kipa Jordan Pickford kutoka klabu ya Sunderland kwa dau pauni milioni 30. Pickford, k… Read More
Kutoka Forbes: Wasanii na wachezaji matajiri zaidi duniani watajwaHaki miliki ya pichaPA/GETTYImage captionBeyonce na JK Rowling ndio wanawake pekee katika 10 waliopata pesa nyingi zaidi Jarida la Forbes limetoa orodha ya watumbuizaji wanaolipwa pesa nyingi zaidi duniani, Sean "Diddy" Combs… Read More
0 comments:
Post a Comment