Thursday, 29 June 2017

SIKIA ALICHOKIONGEA RAIS MTEULE SUNGURA (AJUCSO )

Jana tarehe 28/6/2017 Chuo kikuu kishiriki cha AJUCO ambacho ni Tawi la SAUT ulifanyika uchaguzi wa kuwapata wabunge na Rais watakao hudumu kwa kipindi cha mwaka mmoja. Wagombe wengi walijitokeza kuwania nafasi za ubunge lakini kwa upande wa Urais  hali ilikuwa ngumu sana kwani wagombea watatu wa kinyang'nyilo cha urais walipatikana watatu tu ambao ni Mr. January, Mr. Adam na Lomituni, ambao baada ya mchujo Mr. January na  Mr. Adam ndyo waliingia kwenye kinyang'anyilo hicho na hatimaye baada ya safari ndefu ya kampeni,na hatimaye kupiga kura Mr.Adam alpata kura 143 na Mr. Sungura alipata kura 522 na kutangazwa mshindi wa kiti cha urais. Wabunge walioshinda ni pamoja na WAILES TYSON First year 'A', MWANYIKA FELIX First year 'B' na CHUMA MATHIAS Second year.
SIKILIZA SAUTI YA RAISI MTEULE NA ALIYEKUWA MPINZANI WAKE HAPO CHINI
AU CLICK LINK HII>>>>>>>>https://www.youtube.com/watch?v=MwEoRioHIv4

Related Posts:

  • Upinzani Kenya watishia kususia uchaguzi mkuu Mzozo mpya umeibuka kati ya tume huru ya uchaguzi nchini Kenya, na vinara wa mrengo wa upinzani wa NASA kuhusu utangazaji wa matokeo rasmi ya kura za Urais. IEBC imeijibu mrengo wa upinzani wa Nasa kufuatia vitisho vyake v… Read More
  • 'The Rock' kuwania urais Marekani Aliyekuwa nyota wa mchezo wa miereka Marekani Dwayne Johnson maarufu 'The Rock' anataka kuwania urais nchini humo. Katika mahojiano na jarida la GQ, nyota huyo wa uigizaji anasema kuwa amelifikiria sana wazo hilo. Anasema… Read More
  • Mahabusu aomba adhabu ya kifo cha kumiminiwa risasi Marekani Mahabusu anayesubiri kunyongwa katika jela moja katika jimbo la Georgia nchini Marekani amewasilisha ombi la kuuawa kwa kuumiminiwa risasi kwa sababu kifo cha kuuawa kwa kudungwa sindano kina uchungu mno. JW Leford amekuwa… Read More
  • Mwanahabari mfichuzi wa mihadarati auwawa Mexico Mwaandishi habari aliyeshinda matuzo mengi kuhusiana na taarifa zake nyingi ya ufichuzi wa shughuli za makundi, yanayojihusisha na ulanguzi wa dawa za kulevya nchini Mexico, ameuwawa. Javier Valdez, aliuwawa na watu wenye … Read More
  • Milio ya risasi yatanda miji mikuu Ivory Coast Ufyatulianaji mkali wa risasi umezuka katika miji miwili mikuu nchini Ivory Coast, wanajeshi wakiendelea kuasi kwa siku ya nne mtawalia. Wanajeshi hao waliogoma wamefunga barabara nje ya kambi za jeshi katika mtaa wa kifah… Read More

0 comments:

Post a Comment