SIKILIZA SAUTI YA RAISI MTEULE NA ALIYEKUWA MPINZANI WAKE HAPO CHINI
AU CLICK LINK HII>>>>>>>>https://www.youtube.com/watch?v=MwEoRioHIv4
We connect you with the world.
Upinzani Kenya watishia kususia uchaguzi mkuu
Mzozo mpya umeibuka kati ya tume huru ya uchaguzi nchini Kenya, na vinara wa mrengo wa upinzani wa NASA kuhusu utangazaji wa matokeo rasmi ya kura za Urais.
IEBC imeijibu mrengo wa upinzani wa Nasa kufuatia vitisho vyake v… Read More
'The Rock' kuwania urais Marekani
Aliyekuwa nyota wa mchezo wa miereka Marekani Dwayne Johnson maarufu 'The Rock' anataka kuwania urais nchini humo.
Katika mahojiano na jarida la GQ, nyota huyo wa uigizaji anasema kuwa amelifikiria sana wazo hilo.
Anasema… Read More
Mahabusu aomba adhabu ya kifo cha kumiminiwa risasi Marekani
Mahabusu anayesubiri kunyongwa katika jela moja katika jimbo la Georgia nchini Marekani amewasilisha ombi la kuuawa kwa kuumiminiwa risasi kwa sababu kifo cha kuuawa kwa kudungwa sindano kina uchungu mno.
JW Leford amekuwa… Read More
Mwanahabari mfichuzi wa mihadarati auwawa Mexico
Mwaandishi habari aliyeshinda matuzo mengi kuhusiana na taarifa zake nyingi ya ufichuzi wa shughuli za makundi, yanayojihusisha na ulanguzi wa dawa za kulevya nchini Mexico, ameuwawa.
Javier Valdez, aliuwawa na watu wenye … Read More
Milio ya risasi yatanda miji mikuu Ivory Coast
Ufyatulianaji mkali wa risasi umezuka katika miji miwili mikuu nchini Ivory Coast, wanajeshi wakiendelea kuasi kwa siku ya nne mtawalia.
Wanajeshi hao waliogoma wamefunga barabara nje ya kambi za jeshi katika mtaa wa kifah… Read More
0 comments:
Post a Comment