Thursday 29 June 2017

SIKIA ALICHOKIONGEA RAIS MTEULE SUNGURA (AJUCSO )

Jana tarehe 28/6/2017 Chuo kikuu kishiriki cha AJUCO ambacho ni Tawi la SAUT ulifanyika uchaguzi wa kuwapata wabunge na Rais watakao hudumu kwa kipindi cha mwaka mmoja. Wagombe wengi walijitokeza kuwania nafasi za ubunge lakini kwa upande wa Urais  hali ilikuwa ngumu sana kwani wagombea watatu wa kinyang'nyilo cha urais walipatikana watatu tu ambao ni Mr. January, Mr. Adam na Lomituni, ambao baada ya mchujo Mr. January na  Mr. Adam ndyo waliingia kwenye kinyang'anyilo hicho na hatimaye baada ya safari ndefu ya kampeni,na hatimaye kupiga kura Mr.Adam alpata kura 143 na Mr. Sungura alipata kura 522 na kutangazwa mshindi wa kiti cha urais. Wabunge walioshinda ni pamoja na WAILES TYSON First year 'A', MWANYIKA FELIX First year 'B' na CHUMA MATHIAS Second year.
SIKILIZA SAUTI YA RAISI MTEULE NA ALIYEKUWA MPINZANI WAKE HAPO CHINI
AU CLICK LINK HII>>>>>>>>https://www.youtube.com/watch?v=MwEoRioHIv4

0 comments:

Post a Comment