Siku moja baada ya Mkuu wa Wilaya ya Hai, Galasius Byakanwa kuongoza uondoaji wa miundombinu katika shamba la Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, mwenyekiti huyo ameandika hivi ivi katika ukurasa wake wa Instagram:
"Najua haya yanatokea kwa sababu ya misimamo yangu ya kisiasa kwa sababu wa muelekeo wangu wa kisiasa na uthabiti na uimara wa chama ninachokiongoza, sasa mimi siwezi kuwa kondoo, nimesema siku zote, haya mambo ya duniani anayeyalipa ni Mungu, si mtawala yeyote yule.
“Hawatabadilisha mawazo yangu kwa kuharibu mali zangu, wanaweza kuharibu zote hata wakitaka roho yangu waichukue, waichukue tu lakini haitanisababisha nibadili msimamo wangu katika kuamini ninachokisimamia, ninachokipigania katika Taifa."
"Hakuna wingi wa mali ambao wataharibu utakaonifanya Mbowe nikapige magoti kama wengine wanavyopiga magoti, sitapiga magoti, nitasimama katika kweli na haki wakati wote wa maisha yangu, kwa hiyo hili halinishangazi kwa sababu najua gharama ya ninachokilipa.
“Wako watu wengi wamenipigia simu wakijaribu kunipa pole kunitia moyo, wengine wamejaribu kunitia hofu, wakiniambia Mwenyekiti Mbowe pengine uachane na siasa, nimewaambia sitoachana na siasa, nitafanya siasa, ilimradi ni siasa safi zenye kusimamia ukweli na haki nitasimama nazo."
Miundombinu ya shamba hilo iliharibiwa kwa kinachoelezwa kuwa lipo karibu na chanzo cha ma
Wednesday, 14 June 2017
Home »
» Mbowe atema nyongo
Mbowe atema nyongo
Related Posts:
ALIVYOAPISHWA RAIS WA CHUO KIKUU CHA AJUCO RAIS WA AJUCO NA MAKAMU WAKE Hatimaye ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ni leo tarehe 1/7/2017 katika ukumbi wa NYERERE 0NE ,ambapo rais aliyeshinda kiti cha urais katka chuo kikuu cha AJUCO MR. SUNGURA amea… Read More
Shilingi 180,000 za mjamzito zamtokea puani mganga mkuu Waziri wa afya, Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi mganga mfawidhi wa Kituo cha Afya Mlandizi, Stanley Mpola kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake. Waziri Ummy ametoa agizo hilo alipotembelea kituo hicho cha afya kabla ya… Read More
Ukosefu wa bangi wasababisha dharura kutangwazwa Nevada, MarekaniMaafisa katika jimbo la Nevada nchini Marekani wanachukua hatua za dharura kukabiliana na uhaba wa bangi. Mahitaji yamekuwa ya juu tangu bangi ihalalishwe kwa matumizi ya kujiburudisha tarehe mosi mwezi huu. Hii imetokana na … Read More
GEOGRAPHY U.E PAPERS SOLVED (PROF.MUSHALA) COURSE NAME: PROJECT PLANNING AND MANAGEMENT COURSE CODE:GE : 349 LECTURER: PROF.MUSHALA TASK : SOLVED U.E 2 PAPERS OF 2014/2015-2015/2016 1. Discuss the Basic Roles and Responsibilities of a Project Manager… Read More
Serikali yatangaza ajira 3,152 sekta ya afya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto leo imetangaza ajira 3,152 kwa ajili ya wahitimu wa kada mbalimbali za afya nchini. Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na wizara hiyo, ajira hizo ambazo zinatolewa k… Read More
0 comments:
Post a Comment