Friday, 16 June 2017

Wahamiaji 1000 waokolewa pwani ya Libya

Wahamamiaji huwa na imani ya kupata maisha bora zaidi Ulaya
Image captionWahamamiaji huwa na imani ya kupata maisha bora zaidi Ulaya
Vikosi vya uokoaji vinavyofanya kazi katika pwani ya Libya vimeokoa zaidi ya wahamiaji elfu moja kwa siku moja.
Walikuwa katika boti dogo lililokuwa likielekea Ulaya.
Miongoni mwa waliookolewa ni raia mia moja wa Bangladesh waliokuwa katika boti ndogo na ya wazi.
Italia imepokea zaidi ya wahamiaji elfu sitini na tano kwa kipindi cha miezi sita iliyopita.
Kukabiliana na hilo,serikali ya Italia imepanga kujenga vituo zaidi ya mia sita vitakavyokuwa vikikaliwa na wahamiaji.

Related Posts:

  • Watu watatu wafa na mmoja kanusurika Rufiji Rufiji. Watu watatu  wamefariki dunia kwa kuzama majini na mmoja kunusurika kifo baada ya mtumbwi waliokuwa wakivukia kuzama bwawani wilayani Rufiji mkoani Pwani.Akithibitisha kutokea kwa vifo hivyo, Ofisa Tarafa … Read More
  • Askofu Gwajima: nitawavua mataulo wanaonichokoza Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amewatahadharisha wanaomchokoza akisema ni sawa na mtu anayeanzisha ugomvi huku akiwa amevaa taulo.Akihubiri leo, Gwajima amesema wakiendelea atawavu… Read More
  • Ikulu yatoa majibu haya kwa Acacia Dar es Salaam. Uamuzi wa Serikali kuhusu suala la usafirishaji wa mchanga wa madini, utategemea ripoti ya kamati ya pili iliyoundwa na Rais John Magufuli kuchunguza suala hilo.Hayo yamebainishwa jana na Mkurugenzi wa M… Read More
  • Askofu Gwajima afunguka juu ya sakata la madini Dar es Salaam, Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema ni muhimu madini yasichimbwe hadi itakapowekwa mashine za kuchenjua makinikia.                   &nbs… Read More
  • Mgeja akasirishwa na kauli ya Polepole Morogoro. Mwenyekiti wa Tanzania Mzalendo Foundation, Khamis Mgeja amemuonya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Hampyrey Polepole aache mara moja kugeuza matukio ya kuuawa Watanzania katika Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani… Read More

0 comments:

Post a Comment