Watoto wawili wameripotiwa kufariki huku watu wengine watatu wakiwa wamejeruhiwa baada ya shambulizi la bomu kutokea Nigeria.
Kwa mujibu wa habari zilizotolewa na polisi wa Adamawa ni kwamba mtu asiejulikana aliingia katika kijiji cha Rake akiwa na gari na kuwapa watoto wawili mkoba akiwataka waupeleke nyumbani.
Ripoti zinaonyesha kuwa mtu huyo aliwaambia watoto hao kuwa ndani ya mkoba huo kuna vitu vya thamani na fedha hivyo wahakikishe wanaufikisha nyumbani salama.
Watoto hao waliupeleka nyumbani na ghafla mkoba ulilipuka na kusababisha vifo vya watoto wawili huku watu wengine watatu wakiwa wamejeruhiwa vibaya.
Uchunguzi zaidi wa aliyesababisha shambulizi hilo unafanyika.
Saturday, 10 June 2017
Home »
» Shambulizi la bomu lasababisha vifo vya watoto wawili Nigeria
Shambulizi la bomu lasababisha vifo vya watoto wawili Nigeria
Related Posts:
Askofu Gwajima: nitawavua mataulo wanaonichokoza Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amewatahadharisha wanaomchokoza akisema ni sawa na mtu anayeanzisha ugomvi huku akiwa amevaa taulo.Akihubiri leo, Gwajima amesema wakiendelea atawavu… Read More
Mkapa na Kikwete watajwa ishu ya mchanga Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema marais wastaafu, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete, wanahusika na sakata la mchanga wa madini (makinikia) unaosafirishwa nje ya nchi. … Read More
Mgeja akasirishwa na kauli ya Polepole Morogoro. Mwenyekiti wa Tanzania Mzalendo Foundation, Khamis Mgeja amemuonya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Hampyrey Polepole aache mara moja kugeuza matukio ya kuuawa Watanzania katika Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani… Read More
Simba wapata mualiko bungeni kesho Jumatatu Dodoma. Siku moja baada ya klabu ya Simba kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho, imepata mwaliko bungeni.Simba iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbao FC ya jijini Mwanza, bao lililopatikana ndani ya dakika ngumu 120… Read More
Askofu Gwajima afunguka juu ya sakata la madini Dar es Salaam, Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema ni muhimu madini yasichimbwe hadi itakapowekwa mashine za kuchenjua makinikia. &nbs… Read More
0 comments:
Post a Comment