Mkongwe wa muziki wa asili, Saida Karoli amewataka wapenzi wote wa muziki waweze kumbeba ili asipotee tena kama ilivyokuwa hapo awali baada ya kukosa sapoti pamoja na ukosefu wa fedha.
Saida amesema baada ya kupata matatizo ya ukosefu wa fedha ikiwa ni baada ya mtafaruku kati yake na uongozi aliokuwa nao awali kwa sasa anahitaji sana msaada wa watu wengi zaidi ili aweze kukaa sawa katoka muziki.
“Nimerudi rasmi kwenye muziki wangu, Nibebeni maana mimi ninabebeka, wapenzi wa muziki wa Saida nipokeeni kwa mikono miwili ili niendelee kuwepo,” Saida alikiambia kipindi cha EATV. “Lakini nawaomba wafadhili mbalimbali waweze kujitokeza ili kunipa msaada wa mahitaji nizidi kuwepo. Pia nimewaandalia mambo mazuri kwenye albamu yangu ambayo nitaizindua tarehe moja nimeshirikiana na wasanii kibao akiwepo G nako pamoja na Belle9” alisema Saida Karoli.
Kuhusu kuendelea na muziki wa asili Saida amesema kwamba muziki wake japokuwa una vionjo vya kisasa lakini hawezi kuuacha muziki wa asilikwani ndiyo uliomtambulisha na kumpatia mashabiki wengi ndani na nje ya Africa.
Saturday, 17 June 2017
Home »
» ida Kaloli: Nibebeni
ida Kaloli: Nibebeni
Related Posts:
Takukuru: Tunaendelea Kuwahoji watuhumiwa wa Makinikia TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru imesema kuwa inaendelea kuwahoji watuhumiwa wote walitajwa kwenye sakata la kusafirisha Makinikia ya madini nje ya nchiOfisa Habari wa (Takukuru), Mussa Misalaba, ames… Read More
Wamiliki wa Makentena ya Magogo yaliyonaswa bandarini kufikishwa Kortini SERIKALI inaendelea kuchunguza wamiliki wa Makontena matano ya magogo yaliyokamatwa bandarini mwaka juzi, kuwafikisha mahakamani.Shehena hiyo ya magogo ya mti aina ya Mkulungu ilikamatwa Novemba 5, 2015 yakion… Read More
Mbunge ataka Zitto, Kafulila waombwe radhi kuhusu Sakata la Makinikia Akichangia mjadala huo wa bajeti, Mbunge wa Viti Maalum, Riziki Ngwali (CUF) alisema wabunge warudi majimboni wakaombe radhi wananchi kwani wao ndiyo walipitisha sheria za madini. “Tuliapa kwa kushika kurani na biblia, kur… Read More
Bungeni hapatoshi Sakata la Makinikia BUNGE limeingia siku ya nne jana kujadili Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2017/18, huku wabunge kadhaa wakiraruana kuhusu ripoti ya pili ya kamati iliyoundwa na Rais Dk. John Magufuli, kuhusu mchanga wa dhahabau (makinikia)… Read More
Kisa cha Polisi kuwapiga Mabomu ya Machozi Walemavu Dar POLISI jana walitumia mabovu ya machozi kutawanya watu wenye ulemavu waliokuwa wamekusanyika na kufunga barabara ya Sokoine jijini Dar es Salaam.Mabomu hayo yalizua taharuki kwa watumiaji wa njia hiyo na kusababisha usumbuf… Read More
0 comments:
Post a Comment