Mkongwe wa muziki wa asili, Saida Karoli amewataka wapenzi wote wa muziki waweze kumbeba ili asipotee tena kama ilivyokuwa hapo awali baada ya kukosa sapoti pamoja na ukosefu wa fedha.
Saida amesema baada ya kupata matatizo ya ukosefu wa fedha ikiwa ni baada ya mtafaruku kati yake na uongozi aliokuwa nao awali kwa sasa anahitaji sana msaada wa watu wengi zaidi ili aweze kukaa sawa katoka muziki.
“Nimerudi rasmi kwenye muziki wangu, Nibebeni maana mimi ninabebeka, wapenzi wa muziki wa Saida nipokeeni kwa mikono miwili ili niendelee kuwepo,” Saida alikiambia kipindi cha EATV. “Lakini nawaomba wafadhili mbalimbali waweze kujitokeza ili kunipa msaada wa mahitaji nizidi kuwepo. Pia nimewaandalia mambo mazuri kwenye albamu yangu ambayo nitaizindua tarehe moja nimeshirikiana na wasanii kibao akiwepo G nako pamoja na Belle9” alisema Saida Karoli.
Kuhusu kuendelea na muziki wa asili Saida amesema kwamba muziki wake japokuwa una vionjo vya kisasa lakini hawezi kuuacha muziki wa asilikwani ndiyo uliomtambulisha na kumpatia mashabiki wengi ndani na nje ya Africa.
Saturday, 17 June 2017
Home »
» ida Kaloli: Nibebeni
ida Kaloli: Nibebeni
Related Posts:
FEDHA ZA RAMBIRAMBI ZATUMIKA KUJENGA HOSPITALI JINAMIZI la matumizi ya fedha za rambirambi kwenda kwa familia za wanafunzi limegeuka kaa la moto kwa kuamuliwa sehemu ya fedha hizo zipelekwe kukarabati Hospitali ya Mkoa wa Arusha Mount Meru. Fedha hizo ni zinazotakiw… Read More
How to Start a Cooking Distribution Business in Tanzania: Details Requirement Cooking gas becomes so popular fuel for cooking. Have you ever wondered why is everyone using gas for cooking now?. The answers are pretty simple. The first thing first, cooking gas is environment-frie… Read More
China imeuza televisheni na simu nyingi Korea Kaskazini Wakuu wa biashara wa Korea Kusini wanasema, Uchina imeiuzia Korea Kaskazini magari, televisheni, na simu za mkononi nyingi zaidi mwaka jana, ikionyesha kuwa vikwazo vya Umoja wa Mataifa haivikuathiri mahitaji ya Korea Kaska… Read More
Baadhi ya Njia unazoweza kutumia kupata Wazo Bora la Biashara (Business Idea)IDEA ya Biashara ni moja ya mambo yanayo waumiza watu wengi sana, Na mara nyingi wazo la biashara linahitaji utafiti wa kina ili kuja na wazo lenye tija kwako na kwa jamii nzima. HIZI NI MOJA YA NJIA ZA KUPATA WAZO LA BI… Read More
Wanafunzi 1,000 wasomeshwa Bure Tabora TAASISI isiyo ya Kiserikali ya TOWSF inayojihusisha na kusaidia wanawake wajane na watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi yenye ofisi zake katika Wilaya mpya ya Kaliua Mkoa wa Tabora nchini Tanzania tangu ianze kazi mw… Read More
0 comments:
Post a Comment