Tuesday, 13 June 2017

Alichosema Zitto Kabwe baada ya ripoti ya madini

"Mwisho wa siku historia inaandikwa tu. Uzalendo ni kufanya jambo ambalo wengi hawakuelewi lakini wewe unajua Ni jambo sahihi na unakubali kutukanwa, kususubikwa, kusimangwa, kuzushiwa, nk. Unapambana tu. Mwisho wa siku waliokuita msaliti watakuita shujaa. Waliokuzomea wanashangilia. Wewe unafanya nini? Unakaa kimya kwani kwenye kukaa kimya pia kuna kusema kukubwa zaidi. Muhimu Nchi ifaidike. 

Huko nyuma nilipata kusema, hata mungu akinichukua sasa unakwenda ukiwa umetabasamu kwani unakuwa umetimiza wajibu wako duniani. Kina Josina Umm Kulthum wataishi Kwa heshima inshallah" Ameandika Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa Facebook mara baada ya ripoti ya pili ya mchanga wa madini kuwasilishwa

Related Posts:

  • Wanaotetea Acacia wachapwe viboko: Mwenyekiti CCM Bendera ya CCM MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Wilaya ya Rorya mkoani Mara, Samwel Kiboye amesema Watanzania wote walioshirikiana na kampuni za uchimbaji wa madini ya Acacia, kufanikisha utoroshaji wa madin… Read More
  • John Heche: Ndege za ACACIA kupigwa mawe Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche amefunguka na kusema kwa kuwa Rais Magufuli kupitia ripoti ya pili ya mchanga amesema kampuni ya ACACIA ni feki na haipo basi yeye anawaambia wana… Read More
  • ACACIA waelezea usajili wao KAMPUNI ya uchimbaji madini ya Acacia, imesema kuwa inafanya kazi nchini kwa misingi ya sheria na Mamlaka ya Soko la Mitaji na Dhamana (CMSA) inatambua uwepo wake.Kauli hiyo imekuja baada ya juzi taarifa ya pili ya wachumi … Read More
  • Gari lenye kasi zaidi duniani latarajiwa kufanyiwa majaribio OktobaHaki miliki ya pichaBLOODHOUND SSCImage captionMradi wa Bloodhound mara ya kwanza ulitangazwa mwaka 2008 Gari lenye mwendo wa kasi zaidi duniani litakimbia kwa mara ya kwanza kabisa tarehe 26 mwezi Oktoba, Gari litakimbia kw… Read More
  • Ivo Mapumba azibebesha lawama Simba na Yanga Aliyekuwa golikipa wa vilabu mbalimbali vikubwa Afrika Mashariki ikiwemo Simba, Yanga, Azam, Gor Mahia na Taifa Stars, Ivo Mapunda amevilaumu vilabu vya Simba na Yanga kwa kudharau na kutokuona umuhimu wa michuano ya SportP… Read More

0 comments:

Post a Comment