Saturday, 17 June 2017

Umuhimu wa kufanya mazoezi ya kutembea

Mazoezi ni muhimu kwa kila mmoja wetu, kwa sababu hayana uitaji wa gharama kubwa ukilinganisha na aina nyingine za mazoezi.

Pia kutembea kwa kasi kwa muda wa saa moja na kuendelea imesadikika ya kwamba kuna faida zifuatazo;

1. Husaidia kuimarisha mifupa.

2. Husaidia kwa kiwango kikubwa katika kupunguza mfadhaiko/ stress.

3. Humfanya mtu ajisikie vizuri kiafya.

4. Hupunguza na kitibu shinikizo la damu.

5. Hupunguza uwezekano wa kupatwa na matatizo yatokonayo na kolesto.

6. Mazoezi  hayo husaidia kupunguza uzito kwa kiwango kikubwa

7. Hupunguza uwezekano wa kupatwa na magonjwa ya shambulio la moyo.

Related Posts:

  • Kashfa nzito zaikumba Wizara ya maliasili BAADHI ya wabunge wamelalamikia vitendo vinavyofanywa na Wizara ya Maliasili na Utalii, kukamata na kupiga mnada mifugo inayoingia kwenye hifadhi za taifa. Kutokana na vitendo hivyo, watunga sheria hao wameishauri serik… Read More
  • Wajumbe wa kamati Iliyomng'oa Muhongo walitishwa RAIS Dk. John Magufuli amebainisha kuwa licha ya kamati ya Kuchunguza Makontena ya Mchanga wenye Madini (makinikia) kupewa ulinzi mkali, kulikuwapo vitisho na hata baadhi ya wajumbe kutaka kuhongwa. Akizungumza jana wak… Read More
  • Kikwete aanza kazi na Mgogoro wa Libya Rais Mstaafu Jakaya Mrisho kikwete ameanza kazi kama Mwenyekiti Mwenza katika Baraza la Kimatifa la Wakimbizi ambapo ameanza kazi yeye na jopo lake ya kutaka kusuluhisha Mgororo wa muda mrefu wa nchin ya Libya. Kikwete … Read More
  • Msanii aliyebuni nembo ya Taifa sakata lake latua bungeni Dodoma. Bunge jana lilielezwa kuwa msanii aliyebuni na kutengeneza nembo ya taifa ya Bibi na Bwana, Francis Ngosha ametelekezwa na taifa na anaishi maisha magumu.Suala la msanii huyo liliibuka Bungeni mjini Dodoma leo, kuto… Read More
  • Mauaji Pwani yamepangwa: Mbunge Dodoma. Mauaji katika wilaya za Kibiti na Rufiji jana yaliibuka bungeni kwa mara ya pili, wakati mbunge wa Rufiji (CCM), Mohamed Mchengerwa alipoeleza siri ya mipango na kiini chake.“Nataka niseme na Rais wangu ajue. Mambo … Read More

0 comments:

Post a Comment