Saturday 17 June 2017

Umuhimu wa kufanya mazoezi ya kutembea

Mazoezi ni muhimu kwa kila mmoja wetu, kwa sababu hayana uitaji wa gharama kubwa ukilinganisha na aina nyingine za mazoezi.

Pia kutembea kwa kasi kwa muda wa saa moja na kuendelea imesadikika ya kwamba kuna faida zifuatazo;

1. Husaidia kuimarisha mifupa.

2. Husaidia kwa kiwango kikubwa katika kupunguza mfadhaiko/ stress.

3. Humfanya mtu ajisikie vizuri kiafya.

4. Hupunguza na kitibu shinikizo la damu.

5. Hupunguza uwezekano wa kupatwa na matatizo yatokonayo na kolesto.

6. Mazoezi  hayo husaidia kupunguza uzito kwa kiwango kikubwa

7. Hupunguza uwezekano wa kupatwa na magonjwa ya shambulio la moyo.

0 comments:

Post a Comment