Saturday 17 June 2017

Kaburi la baba wa Spika wa Bunge Job Ndugai lafukuliwa

Wananchi wanafukua mabaki ya mwili wa baba wa Spika wa Bunge Job Ndugai, Yustino Ndugai aliyezikwa Bukombe ili kuyapeleka Kongwa.

source:mwananchi

0 comments:

Post a Comment