Home »
» Kaburi la baba wa Spika wa Bunge Job Ndugai lafukuliwa
Wananchi wanafukua mabaki ya mwili wa baba wa Spika wa Bunge Job Ndugai, Yustino Ndugai aliyezikwa Bukombe ili kuyapeleka Kongwa.
source:mwananchi
Related Posts:
Vigogo wawili Waliotajwa Ripoti ya Makinikia wamwaga fedha Kanisani
WABUNGE watatu, wakiwamo Andrew Chenge na William Ngeleja ambao Kamati ya pili ya Rais kuchunguza masuala ya kisheria na kiuchumi kuhusiana na makinikia Jumatatu iliyopita ilishauri wachunguzwe, jana walitoa mchango kwa k… Read More
Hoja 6 moto mkali kwa serikali bungeni
MJADALA wa mapendekezo ya makadirio ya bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018 unatarajiwa kuhitimishwa leo mjini hapa huku hoja sita zikionekana kuwa mtihani mgumu kwa serikali kuzitolea majibu kesho wakati in… Read More
Simba yatumia Mil. 100/ kumshawishi Niyonzima
NI UMAFIA TU! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima kudaiwa kujiunga na Klabu ya Simba kwa mkataba wa miaka miwili baada ya kupewa ofa ya Sh. milioni 100.
Habari zilizopatikana jana jioni … Read More
Ole Sendeka atuma salamu hizi kwa Lowassa
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka amempongeza Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwa kumpongeza Rais John Magufuli kufuatia uamuzi aliouchukua kuhusu mchanga wa madini yanayochimbwa nchini na kampuni ya Ac… Read More
Nchemba amtolea uvivu Tundu Lissu
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba ‘amemvaa’ Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu kwamba amejaribu kutengeneza kila aina ya kichaka kukwamisha jitihada za Rais John Magufuli kupambana na usafirish… Read More
0 comments:
Post a Comment