Thursday, 8 June 2017

England uso kwa uso na Venezuela fainali ya kombe la dunia U20

englandHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionMfungaji wa mabao mawili ya England Dominic Solanke katikati akishangailia na wachezaji wenzake
Timu za England na Venezuela zimetinga kwenye hatua ya fainali ya michuano ya kombe la dunia la vijana chini ya umri wa miaka 20.
England wametinga katika hatua ya fainali kwa kuichapa Italia kwa mabao 3-1 magoli ya England yamefugwa na Dominic Solanke aliyefunga mara mbili na Ademola Lookman huku goli pekee la Italia likifungwa na Riccardo Orsolini.
Katika mchezo mwingine wa nusu fainali Venezuela wamewachapa Uruguay kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya sare ya goli 1-1 katika dakika tisini za kwaida.
Mchezo wa fainali kati ya England na Venezuela utachezwa june 11 katika dimba la Suwon mchezo huo ukitanguliwa na mchezo wa mshindi wa tatu kati ya Italia na Uruguay.

Related Posts:

  • Ben Pol amjibu Baraka The Prince Mwanamuziki wa miondoko ya RnB bongo, Ben Pol amejibu ‘diss’ ya Baraka The Prince kuhusu ujio wa wimbo wake mpya na kusema kuwa amesha msamehe siku nyingi, kabla hata hamjamkosea huku akiongeza kwamba anajitahidi kumsaidia … Read More
  • Huu ndio ugonjwa unaomsumbua mbunifu wa nembo ya Taifa RIPOTI ya awali ya uchunguzi wa kiafya aliofanyiwa mbunifu wa Nembo ya Taifa (bibi na bwana), Francis Ngosha (86) katika Kitengo cha Magonjwa ya Dharura Hospitali ya Mkoa ya Amana, inaonyesha kuwa anakabiliwa na tatizo la l… Read More
  • Hizi ndizo sababu za Bulyanhulu kumzuia RC Kahama. Meneja Ufanisi na Maendeleo ya Jamii wa mgodi wa Bulyanhulu, Elias Kastila amesema kilichosababisha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Terrack na msafara wake kushindwa kuingia ndani ya mgodi huo ni mfumo wa ulinzi u… Read More
  • Povu lamtoka Wolper kuhusu madai ya Kunuka Mwili Staa wa filamu ‘grade one,’ ‘Jacqueline Wolper’. Staa wa filamu ‘grade one,’ ‘Jacqueline Wolper’ ametokwa povu si la nchi hii baada ya kubanwa kuhusiana na madai ya kunuka mwili na kusema hajawahi kunuka maishani mwake na … Read More
  • Kafulila atema nyongo baada ya Prof Muhongo Kutumbuliwa Aliyewahi kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu David Kafulila ameibuka na kutoa ya moyoni baada ya maamuzi yaliyofanywa na Rais Magufuli baada ya kupokea ripoti ya Kamati Maalum kuhusiana na uchung… Read More

0 comments:

Post a Comment