Thursday, 8 June 2017

Dkt Mpango awasilisha taarifa ya hali ya uchumi kwa mwaka 2016

Responsive image
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango.

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango amewasilisha taarifa ya hali ya uchumi kwa mwaka 2016 na Mpango wa maendeleo ya uchumi wa Taifa Kwa Mwaka 2017/2018.

Akiwasilisha taarifa na mpango huo bungeni mjini Dodoma, Waziri Mpango ametaja vipaumbele kuwa ni  ujenzi wa miundombinu, kuimarisha vyanzo vya mapato, kuboresha huduma za jamii, mazingira ya viwanda na upatikanaji wa nishati.

Waziri Mpango amesema uchumi wa taifa umeongezeka kwa asilimia Tano huku hali ya umaskini hususani vijini imepungua kwa asilimia moja.

Related Posts:

  • Awatapeli raia kwakutumia sare za JWTZ Mwanza. Mkazi wa Kitangili, Shinyanga Francis Kilalo  (31)anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora kukutwa na sare na vifaa vingine vya Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) ambavyo anatuhumiwa kuvitumia kupateli… Read More
  • Ivan Don Azikwa na Mamilion ya Pesa Kaburini  KUTOKA KWENYE MAZISHI UGANDA...... pesa zaidi ya 30 mil zamwagwa ndani ya kaburi la Ivan Don... Kabla ya maiti kuwekwa....!! Ni balaaaaa..... RIP IVAN DON ila ingekuwa hapa bongo ingebidi hlo kaburi lilindwe hata miez… Read More
  • Mume amuua mkewe kwa kipigo Mwanamke mmoja amekutwa akiwa amefariki dunia chumbani kwake huku mwili wake ukiwa na majeraha baada ya kupigwa na mumewe, wilayani ilemela mkoani Mwanza.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza DCP Ahmed Msangi amesema kwamba tuki… Read More
  • Basi la Falcon lapata ajali Uganda, Watanzania 27 wajeruhiwa Dar es Salaam. Watanzania 27 wamejeruhiwa katika ajali ya basi kampuni ya Falcon walilokuwa wakisafiria kutokea Tanzania kuelekea Uganda, baada ya kuangukia upande wa kushoto njia kuu ya Masaka, Uganda.Abiria hao walik… Read More
  • Wastara awajia juu wanaomtukana Zari Wastara afunguka kwa Uchungu Kuhusu Zari Kutukanwa:From @wastara84 - Ukimuona nyani kazeeka na bado anaishi ujue kakwepa mishale mingi saana mtanisamehe kwa masamiati huuLakini mim ni mama sijawahi kusahau uchungu wa mwana … Read More

0 comments:

Post a Comment