Msanii Darassa atatumbuiza katika mechi ya fainali ya michuano ya SportPesa Super Cup kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Darassa ambaye anaendelea kutamba na singo yake ya muziki, tayari amethibitisha kutumbuiza katika fainali hiyo.
“Kweli nitakuwa pale Uhuru kutumbuiza, mashabiki nawakaribisha tupate darasa la burudani ya uhakika ya muziki na soka,” alisema.
Darassa ameahidi kutumbuiza nyimbo zake kadhaa ambazo zinatamba ukiwemo ule mpya.
Fainali ya “Derby ya Mashemeji”, inachezwa kwa mara ya kwanza katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Kabla timu hizo, nje ya Kenya zimekutana Sudan na Ethiopia na mara zote Gor Mahia walishinda.
Lakini kesho, mshindi wa fainali hiyo atacheza mechi dhidi ya Everton na kila upande umepania kushinda.
Saturday, 10 June 2017
Home »
» Darasa kutumbuiza kwenye fainali ya SportPesa Super Cup
Darasa kutumbuiza kwenye fainali ya SportPesa Super Cup
Related Posts:
This is what Zarizebosslady said today after Diamond confessing to cheat her.Am such an early morning person as some can see on my snap, usually up by 5am. Let's start this day on a different note, shall we. Ladies and gentlemen I've heard you loud and clear, the advises, the consolation, the pity, th… Read More
Russia test-launches 4 ballistic missiles from submarines and space centre Russia launched four ballistic missiles on Thursday (26 October) as part of large-scale war games involving the country's strategic forces, the country's defence ministry said in a statement. Three of the projectiles were fir… Read More
Two police officers held over assaults on civilians in Dar’s Ukonga-Mazizini Ilala Regional Police Commander Salum Hamduni In Summary The officers were arrested following a directive by Ilala District Commissioner Sofia Mjema, who went to the scene to calm residents, who were protesting agains… Read More
Tanzania’s new governor says appointment took him by surprise Newly appointed Bank of Tanzania (BoT) governor Florens Luoga Dar es Salaam. Newly appointed Bank of Tanzania (BoT) governor Florens Luoga has said he was taken by surprise over President John Magufuli’s announc… Read More
No plan to sell Nakumatt TZ operations to Manji: official The Nakumatt Tanzania saga took a new twist yesterday as the company’s management distanced itself from reported negotiations with tycoon, Yusuf Manji. On Tuesday, the chairman of hundreds of suppliers, who are owed b… Read More
0 comments:
Post a Comment