Aliyekuwa golikipa wa vilabu mbalimbali vikubwa Afrika Mashariki ikiwemo Simba, Yanga, Azam, Gor Mahia na Taifa Stars, Ivo Mapunda amevilaumu vilabu vya Simba na Yanga kwa kudharau na kutokuona umuhimu wa michuano ya SportPesa Super Cup
Ivo Mapunda alisema hayo baada ya timu kutoka Kenya Gor Mahia na AFC Leopards kuingia kwenye fainali za michuano hiyo huku Gor Mahia wakichukua ubingwa wa kwanza wa michuano ya SportPesa Super Cup wakati timu za Tanzania Simba na Yanga zikiwa zimetolewa katika hatua ya Robo fainali na nusu fainali.
Golikipa huyo alisema sababu kubwa timu za bongo kushindwa kufanya vyema ni kutokana na kuchezesha wachezaji ambao hawana uzoefu mkubwa ukilinganisha na timu kutoka Kenya ambazo ziliweka umuhimu kwenye michuano hiyo kwa kuleta wachezaji wazoefu.
Wednesday, 14 June 2017
Home »
» Ivo Mapumba azibebesha lawama Simba na Yanga
Ivo Mapumba azibebesha lawama Simba na Yanga
Related Posts:
HATIMAYE:Kaburi la Ivan latakiwa kufukuliwa Mwanasheria Tugume Gideon ameiomba Mahakama Kuu ya Uganda iruhusu kaburi la Ivan Semwanga lifukuliwe ili watoe fedha zilizomwagwa ndani akidai kuwa ni kunyume cha Sheria source:muungwana… Read More
Wabunge wa Upinzani Wasusia Bunge na Kutoka Nje Mbunge John Mnyika atolewa nje ya Bunge kwa amri ya Spika Job Ndugai na kuamriwa kutohudhuria vikao kwa siku 7 baada ya kutokea malumbano leo.Kufuatilia tukio hilo Wabunge wa Upinzani wametoka nje baada ya Mbunge huyo kutol… Read More
App Pekee Iliyopo Kwenye Simu Anayotumia Rais wa Marekini Donald Trump Watu wengi wanaotaka kununua simu janja/Sikanu (Smartphone), mojawapo ya jambo wanaloangalia pindi wafanyapo uchaguzi wa simu ni ukubwa wa uhifadhi wa ndani (storage).Sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kupata wasaa wa kusanid… Read More
Hii ndio idadi ya watu wanaosafiri kwenye mabasi ya mwendokasi kwa siku Dar es Salaam. Mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT) sasa unasafirisha watu 200,000 kwa siku kutoka watu 50,000 iliyokuwa ikisafirisha mwaka jana baada ya mradi huo kuanza kazi.Kuongezeka kwa idadi hiyo inaelezwa kuwa ni is… Read More
Kesi ya Lissu yakwama kuendelea Kisutu Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu Dar es Salaam. Kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu imeshindwa kuendelea kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisu… Read More
0 comments:
Post a Comment