Msanii wa muziki, Diamond platnumz amefunguka kuuzungumzia mchango wa malkia wa filamu, Wema Sepetu kwenye perfume yake ya ‘Chibu Perfume’.
Diamond amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa, yeye na Wema wanakutana na kuongea sana na wakati mwingine hushauriwa mambo mengi ya kibiashara na mwanadada huyo ambae alikuwa mpenzi wake .
“Mimi na Wema labda watu hawajui sisi tunaongea sana wakati mwingine tunakutana tu sana lakini sio kwenye media. Tushakuwa kila mtu ana mahusiano yake tofauti yeye ana familia yake hata ukiangalia katika Perfume yangu lile neno THE SCENT YOU DESERVE alilitoa Wema” alisema Diamond.
Muimbaji huyo kwasasa yupo kwenye mahusiano ya Zari na tayari wamefanikiwa kupata watoto wawili.
Tuesday, 13 June 2017
Home »
» Diamond afunguka mchango wa Wema Sepetu kwenye ‘Chibu Perfume’.
Diamond afunguka mchango wa Wema Sepetu kwenye ‘Chibu Perfume’.
Related Posts:
Ndugu wasusia mwili wa jamaa yao aliyefariki kwa utata Ndugu wa marehemu Shinje Charles mwenye umri wa miaka 25, mkazi wa mtaa wa Uwanja, kata ya Nyankumbu mjini Geita, wamesusia kuchukua mwili wa ndugu yao, kutokana na utata wa kifo chake mpaka uchunguzi utakapokamilika. &#… Read More
TCAA YAKANA KUITAMBUA NDEGE YA GWAJIMASerikali kupitia Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) imekana kuwa na taarifa ya ndege iliyonunuliwa na Askofu wa Kanisa Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima nchini Marekani. Juzi, Askofu Gwajima alithibitisha kununua ndege hiyo ai… Read More
Urusi: Marekani imetangaza ''vita vya kibiashara'' kwetuWaziri mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev amesema kuwa vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani dhidi ya taifa hilo ni sawa na kutangaza vita vya kibiashara. Amesema kuwa mikakati iliotiwa saini na rais Trump inaonyesha udhaifu wa r… Read More
WhatsApp Gets Picture-in-Picture Video Calling Feature in Stable Builds HIGHLIGHTS WhatsApp has adding two new featuresThe app now lets you put text-only updatesYou can also make use of a PiP feature WhatsApp has rolled out two new features - support for picture-in-picture and ability to have te… Read More
JPM amteua brigedia kuwa naibu mkurugenzi TAKUKURU Rais John Magufuli leo Agosti 21, amemteua brigedia jenerali John Julius Mbungo, kuwa naibu mkurugenzi mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mkurugenzi wa mawasilian… Read More
0 comments:
Post a Comment