Monday 5 June 2017

PICHA: Jinsi Juventus walivyorejea kwao baada ya kipigo cha Real Madrid

 Baada ya kupoteza kwa kufungwa kwa mabao 4-1 dhidi ya Real Madrid katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Juventus wamerejea nyumbani Italia.

Pamoja na kuukosa ubingwa, mashabiki walionekana kuwapongeza wakiwapungia mkono kuonyesha bado wanawapa heshima kubwa.







0 comments:

Post a Comment