Baada ya kupoteza kwa kufungwa kwa mabao 4-1 dhidi ya Real Madrid katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Juventus wamerejea nyumbani Italia.
Pamoja na kuukosa ubingwa, mashabiki walionekana kuwapongeza wakiwapungia mkono kuonyesha bado wanawapa heshima kubwa.
Monday, 5 June 2017
Home »
» PICHA: Jinsi Juventus walivyorejea kwao baada ya kipigo cha Real Madrid
PICHA: Jinsi Juventus walivyorejea kwao baada ya kipigo cha Real Madrid
Related Posts:
Mauaji Pwani yamepangwa: Mbunge Dodoma. Mauaji katika wilaya za Kibiti na Rufiji jana yaliibuka bungeni kwa mara ya pili, wakati mbunge wa Rufiji (CCM), Mohamed Mchengerwa alipoeleza siri ya mipango na kiini chake.“Nataka niseme na Rais wangu ajue. Mambo … Read More
Ujumbe wa Diamond Baada ya Ivan kufariki Dunia Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond Platnumz ameandika ujumbe huu "Mbele yako, Nyuma yetu" Ujumbe huo ni baada ya Aliyekuwa mume wa Zarina Hassan ‘Zari The Bosslady’, Ivan Semwanga kufariki dunia akiwa hospitali nchi… Read More
Mbunifu wa Nembo ya Taifa ahamishiwa Hosptali ya Muhimbili Mzee Francis Ngosha ndiye mchoraji na mbunifu wa nembo ya taifa maarufu kama Bibi na Bwana, S iku mbili zilizopita aliliripotiwa kuwa anaishi maisha ya Magumu huko Buguruni jijini Dar es salaam. Kibanda alichokuwa akiishi… Read More
Wajumbe wa kamati Iliyomng'oa Muhongo walitishwa RAIS Dk. John Magufuli amebainisha kuwa licha ya kamati ya Kuchunguza Makontena ya Mchanga wenye Madini (makinikia) kupewa ulinzi mkali, kulikuwapo vitisho na hata baadhi ya wajumbe kutaka kuhongwa. Akizungumza jana wak… Read More
Kashfa nzito zaikumba Wizara ya maliasili BAADHI ya wabunge wamelalamikia vitendo vinavyofanywa na Wizara ya Maliasili na Utalii, kukamata na kupiga mnada mifugo inayoingia kwenye hifadhi za taifa. Kutokana na vitendo hivyo, watunga sheria hao wameishauri serik… Read More
0 comments:
Post a Comment