Kiongozi wa Chama Cha Act-Wazalendo hajajua cha kujibu kuhusu suala la uteuzi wa Mwenyekiti wa Chama hicho Anna Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
Zitto amesema kuwa Chama hicho kitatoa tamko baada ya Mwenyekiti huyo kurejea nchini kutoka nje ya nchi alipokwenda .
"Nimekuwa naulizwa Sana kuhusu uteuzi wa Mwenyekiti wa Chama chetu kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. Nimekuwa kimya Kwa sababu tumepokea Taarifa za uteuzi kutoka katika vyombo vya Habari. Mwenyekiti yuko nje ya nchi na kutokana na tofauti za masaa bado hatujawasiliana nae
Aliyeteuliwa ni Mwenyekiti wa Chama Taifa, sio mshauri au mwanachama tu. Ni mmoja wa viongozi wa juu wa Chama chetu. Uteuzi wake unahitaji kikao cha Kamati Kuu ya Chama kukaa na kujadili. Nitaweza kutoa Taarifa baada ya vikao vya Kamati Kuu ya Chama. Kwa sasa umma usubiri vikao Kwa mujibu wa Katiba ya Chama chetu" amesema Zitto.
SOURCE:MUUNGWANA
Monday, 5 June 2017
Home »
» Zitto njia panda uteuzi Anna Mghwira
Zitto njia panda uteuzi Anna Mghwira
Related Posts:
How betting drives Tanzanians Betting in Tanzania is a practice that existed since even before the establishment of formal betting stations. Fans usually placed informal bets whenever the fierce rivals, Yanga and Simba, played. After the establishment o… Read More
Why America Must Find a Diplomatic Solution to the North Korea Crisis It should be painfully evident by now that the strategy the United States has pursued toward North Korea since the early 1990s regarding that country’s nuclear ambitionshas not worked, is not working, and is unli… Read More
JPM, Lowassa spark debate (TZ) Dar es Salaam. Controversy has arisen among opposition politicians as they reacted to the decision by former Prime Minister Edward Lowassa to pay a visit to State House on Tuesday where he praised President John MagufuliR… Read More
Tanzanians think corruption in their country has declined. The reality is very different John Pombe Magufuli became president of Tanzania in 2015, and the perception among Tanzanians is that the corruption issues that used to plague the country’s government improved drastically since then. International co… Read More
Raila promises to make things tough for Uhuru - The National Resistance Movement wing in the National Super Alliance has promised to pile pressure on the Jubilee government to step aside - NASA leader Raila Odinga said the opposition has several legal means to ensure Pr… Read More
0 comments:
Post a Comment