Wednesday, 7 June 2017

Mwanamke akamatwa China akiwa na mikoba iliyotengenezwa kwa cocaine

Mwanamke akamatwa China akiwa na mikoba iliyotengenezwa na cocaineHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionMwanamke akamatwa China akiwa na mikoba iliyotengenezwa na cocaine
Maafisa wa forodha mjini Shanghai nchini China, wanasema kuwa wamemkamata mwanamke ambaye alijaribu kusafirisha mikoba miwili hadi nchini Uchina, ambayo ilikuwa imetengenezwa kwa kutumia dawa ya kulevya ya cocaine.
Mwezi Februari mamlaka za viwanja vya ndege katika moja ya viwanja vya kimataifa mjini humo zilikagua kwa njia ya x-ray mkoba wa mwanamke ambaye alikuwa amesafiri kutoka nchi ambayo haikutajwa ya Amerika Kusini.
Mashine ya x-ray ilionyesha kuwa mkoba wake ulikuwa mweusi kuliko kawaida na pia ulikuwa mzito hata ulipokuwa bila mzigo.
Baadaye ya uchunguzi uligundua kuwa ulikuwa umetengenezwa kwa karibu kilo kumi ya cocaoine
Sheria za China zinasema kuwa yeyote ambaye atapatikana na hatia ya kusafirisha zaidi ya gramu 50 ya cocaine atanyongwa.

Related Posts:

  • Huu ndio ugonjwa unaomsumbua mbunifu wa nembo ya Taifa RIPOTI ya awali ya uchunguzi wa kiafya aliofanyiwa mbunifu wa Nembo ya Taifa (bibi na bwana), Francis Ngosha (86) katika Kitengo cha Magonjwa ya Dharura Hospitali ya Mkoa ya Amana, inaonyesha kuwa anakabiliwa na tatizo la l… Read More
  • Hizi ndizo sababu za Bulyanhulu kumzuia RC Kahama. Meneja Ufanisi na Maendeleo ya Jamii wa mgodi wa Bulyanhulu, Elias Kastila amesema kilichosababisha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Terrack na msafara wake kushindwa kuingia ndani ya mgodi huo ni mfumo wa ulinzi u… Read More
  • Kenya: Afariki dunia baada ya kutabiri kifo chake  Irene Chris aliolewa kwa harusi Agosti 2016 na mumewe Chris Mwangi - Mnamo January 2017,Irene aliandika katika mtandao wa kijamii kwamba alikuwa akielekea mbinguni na kuwaomba watu kutuma salamu -Miezi minne baadaye… Read More
  • Yanga yapigwa faina ya milioni moja na TFF Kamati ya Saa 72 imekaa kupitia mambo mbalimbali na moja ya uamuzi wake ni kuhusiana na Yanga kugoma kuingia vyumbani.Mechi namba 206 (Yanga 1 Vs Toto Africans 0).Klabu ya Yanga imepigwa faini ya sh. 1,000,000 (milioni moja… Read More
  • Ben Pol amjibu Baraka The Prince Mwanamuziki wa miondoko ya RnB bongo, Ben Pol amejibu ‘diss’ ya Baraka The Prince kuhusu ujio wa wimbo wake mpya na kusema kuwa amesha msamehe siku nyingi, kabla hata hamjamkosea huku akiongeza kwamba anajitahidi kumsaidia … Read More

0 comments:

Post a Comment