Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga leo limewatawanya madereva bodaboda zaidi ya 100 waliokuwa wanaandamana kuelekea eneo la Ibinzamata kwenye msibani kwa dereva mwenzao Joel Mamla (26) ambaye alifariki dunia jana akiwa amempakia askari wa usalama barabarani aliyekuwa amemkamata kwa kosa la kutokuvaa kofia ngumu (Helment).
Joel ambaye alikamatwa na askari waliokuwa kwenye majukumu yao ya kila siku, aliamuliwa kuelekea kituo cha polisi huku akiwa na askari amembeba kwenye pikipiki yake lakini baadaye anadaiwa kuwa alibadilisha uelekeo na kwenda Barabara ya Tinde huku akimwambia askari watakufa pamoja na kisha kuigongesha pikipiki kwenye nguzo ya alama za barabarani na baadaye kufariki dunia huku askari huyo akijeruhiwa.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga, Jumanne Murilo, amekiri kutokea kwa tukio hilo.
“Deereva bodaboda huyo baada ya kukamatwa aliamliwa apelekwe kituoni, ndipo akambemba askari PC Edmond, lakini kabla hawajafika kitunoni, ghafla alielekeza pikipiki mahala pengine huku akimwambia askari lazima wafe wote.
“Wakati pikipiki hiyo ikiwa mwendokasi, askari huyo alianza kujihami kumzuia lakini bahati mbaya hakufanikiwa na hatimaye kusababisha ajali hiyo iliyopelekea kifo,” alisema Kamanda Murilo.
Aidha alisema baada ya tukio hilo wananchi kwa kushirikiana na bodaboda walianzisha vurugu kwa kuwarushia mawe askari polisi, ndipo jeshi hilo lilipotumia nguvu ya ziada kupiga mabomu, ili kuimarisha usalama na hali ya amani ambpo hatimye kufanikiwa kuituliza.
SOURCE:BBC
Wednesday, 7 June 2017
Home »
» Dereva Bodaboda afariki dunia huku akiwa amembeba Askari
Dereva Bodaboda afariki dunia huku akiwa amembeba Askari
Related Posts:
Why JPM picked non economist to head BoT PRESIDENT John Magufuli yesterday appointed a new Central Bank governor in style, breaking a norm of choosing an economist; instead, he has opted for taxation law Professor Florens Luoga. His appointment to replace Prof… Read More
Tanzania’s new governor says appointment took him by surprise Newly appointed Bank of Tanzania (BoT) governor Florens Luoga Dar es Salaam. Newly appointed Bank of Tanzania (BoT) governor Florens Luoga has said he was taken by surprise over President John Magufuli’s announc… Read More
No plan to sell Nakumatt TZ operations to Manji: official The Nakumatt Tanzania saga took a new twist yesterday as the company’s management distanced itself from reported negotiations with tycoon, Yusuf Manji. On Tuesday, the chairman of hundreds of suppliers, who are owed b… Read More
Barrick in $11m loss after securing money for Tanzania Dar es Salaam. Barrick Gold Corporation has reported a net loss of $11 million in the third quarter after increasing a tax provision related to the “good will” payoff of $300 million agreed with Tanzania. The mining giant m… Read More
Two police officers held over assaults on civilians in Dar’s Ukonga-Mazizini Ilala Regional Police Commander Salum Hamduni In Summary The officers were arrested following a directive by Ilala District Commissioner Sofia Mjema, who went to the scene to calm residents, who were protesting agains… Read More
0 comments:
Post a Comment