Kwikwi ni kitu cha kawaida kutokea hasa umri unavyozidi kwenda. Na mtoto mchanga yupo kwenye hatari zaidi ya kupata kwikwi, pia hata ndani ya mfuko wa kizazi kuanzia wiki ya sita mtoto huweza kupata kwikwi. Kwikwi hizi huweza kuwepo kati ya dakika moja hadi saa bila kuleta madhara yoyote kwa mtoto.
Chanzo cha kutokea kwa kwikwi kwa mtoto.
Kwikwi husababishwa na kusinyaa kwa misuli kitaalamu diaphragm(contraction or irritation of diaphragm) ambayo hutenganisha kifua na tumbo, na kwa madaktari bingwa wa watoto wanasema pia kwikwi huweza kusababishwa na aina ya vyakula, vyakula hivyo ni kama (maziwa anayonyonya kutoka kwa mama, au maziwa ya kopo) mara nyingine inaelezwa ya kwamba kutokea kwa kwikwi kwa mtoto husababishwa na na joto la mtoto linaposhuka sana.
Kwikwi huwa hatari sana pale inapotekea mara kwa mara na kutopata nafuu, na kusababisha mtoto kushindwa kunyonya, kula na kulala. Hivyo inapotekea hali hii mpe mtoto maji kidogo, huku ukimsugua mgongo. Unaweza kutumia Grip water. Mpe mtoto chakula akiwa ametulia, na jaribu kubadilisha mkao wa mtoto, na kumtuliza mtoto na hali hii inaweza kuisha.
mpe mtoto Grip water kwa kipimimo cha 0.5mm
Ukiona hali hii haiiishi ni vyema kwenda kwa daktari bingwa wa watoto mapema iwezekanavyo, ili uweze kupata msaada wa kitaalamu.
Saturday, 17 June 2017
Home »
» Fanya hivi pale mtoto mchanga anapopatwa na kwikwi.
Fanya hivi pale mtoto mchanga anapopatwa na kwikwi.
Related Posts:
Kiongozi wa upinzani Urusi atupwa jela kwa kuandaa maandamanoHaki miliki ya pichaAFP/GETTY IMAGESImage captionAlexei Navalny (kulia) ana nia ya kugombea urais mwaka ujao Kiongozi wa upinzani nchini Urusi Alexei Navalny amehukumia kifungo cha siku 30 jela kwa kukiuka sheria baada ya kua… Read More
Wakimbizi waugua kambini nchini IraqiHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionMaelfu ya watu wameukimbia mji wa Mosul baada ya kutokea mapigano ya kudhibiti mji huo Mamia ya watu wameugua na mtoto mmoja amepoteza maisha kwa kile kinachoelezwa kutokana na kul… Read More
Muuza ndizi wa miaka 94 aliyeporwa Indonesia achangiwa pesaHaki miliki ya pichaFACEBOOK: TOMMYREZA CHOKOLATOZImage captionKind-hearted Indonesians reacted to Mr Suratman's plight in a strong show of support Watu nchini Indonesia wameungana kumsaidia mzee mmoja muuza ndizi ambaye anas… Read More
Rais wa zamani wa Panama Ricardo Martinelli akamatwa MarekaniHaki miliki ya pichaREUTERSImage captionRicardo Martinelli anakana madai dhidi yake Rais wa zamani wa Panama Ricardo Martinelli amakamatwa katika jimbo la Florida nchini Marekani. Kikosi cha kudumisha sheria nchini Marekani … Read More
Panama yakata uhusiano na Taiwan na kuipendelea ChinaHaki miliki ya pichaCHINA NEWS SERVICEImage captionMawaziri wa Panama na Taiwan Panama imekata uhusiano wake wa muda mrefu na Taiwana na badala yake imeboresha uhusiano na China Serikalia ya Panama ilisema inatambua kuwa kun… Read More
Ok
ReplyDelete