Saturday, 13 May 2017
Home »
» AJUCO THIRD YEAR WATUNISHIWA MISULI NA RMA
AJUCO THIRD YEAR WATUNISHIWA MISULI NA RMA
Katika kile ambacho hakikutarajiwa na mashabiki wengi wa AJUCO third year lakini kimewezekana ni baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya timu ya chuo cha wauguzi Songea maarufu kama RMA. Mechi hiyo ilichezwa katika uwaja wa RMA majira ya saa kumi na moja kasoro amabapo mshmbuliaji wa timu ya RMA Nickson aliweza kuipatia timu yake bao la kwanza mnamo dakika ya 7 na baadae mshambuliaji Luckuman kutoka RMA aliweza kuifungia timu yake hiyo goli la 2 mnamo dakika ya 29. Baada ya kipindi cha pili AJUCO third year waliweza kujipatia bao la kufutia machozi amabalo lilifungwa na msambuliaji Matambi mnamo dakika ya 85. Mechi hiyo ilimalizika huku AJUCO third year wakiambulia kipigo cha goli 2-1 dhidi ya RMA.
Michuano hiyo ya ligi ya AJUCO itaendelea kesho majira ya saa nane mchana katika uwanja wa RMA amabapo AJUCO third year watacheza tena na AJUCO diploma , na baadae saa kumi jioni kutakuwa na mechi kati ya AJUCO second year na AJUCO First year 'B'.
Sonsoge blog itaendelea kukuletea habari zote za michuano ya ligi ya AJUCO, Tafadhali subscribe hapo juu ili uwe wa kwanza kupata taarifa.
Related Posts:
Huu ndio ugonjwa unaomsumbua mbunifu wa nembo ya Taifa RIPOTI ya awali ya uchunguzi wa kiafya aliofanyiwa mbunifu wa Nembo ya Taifa (bibi na bwana), Francis Ngosha (86) katika Kitengo cha Magonjwa ya Dharura Hospitali ya Mkoa ya Amana, inaonyesha kuwa anakabiliwa na tatizo la l… Read More
Rais wa FIFA aipongeza Yanga Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, Mei 24, mwaka huu alituma ujumbe Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuipongeza Young Africans ya Dar es Salaam kwa kutwaa ubingwa Ligi Kuu… Read More
Yanga yapigwa faina ya milioni moja na TFF Kamati ya Saa 72 imekaa kupitia mambo mbalimbali na moja ya uamuzi wake ni kuhusiana na Yanga kugoma kuingia vyumbani.Mechi namba 206 (Yanga 1 Vs Toto Africans 0).Klabu ya Yanga imepigwa faini ya sh. 1,000,000 (milioni moja… Read More
Kenya: Afariki dunia baada ya kutabiri kifo chake Irene Chris aliolewa kwa harusi Agosti 2016 na mumewe Chris Mwangi - Mnamo January 2017,Irene aliandika katika mtandao wa kijamii kwamba alikuwa akielekea mbinguni na kuwaomba watu kutuma salamu -Miezi minne baadaye… Read More
TAMBUA VYUO VINAVYOTAMBULIKA NA NACTENIMEAMUA KUKUWEKEA ORODHA YA VYUO VINAVYOTAMBULIKA NA NACTE ILI KUEPUKA KUTAPELIWA NA VYUO FEKI. BONYEZA HAPA>>>>>>>>.ORODHA YA VYUO VINAVYOTAMBULIKA NA NACTE… Read More
0 comments:
Post a Comment