Lakini kwa upande wa Mwaka wa pili wameanza ligi kwa bahati mbaya kwa kukubali kipigo cha goli moja bila (1-0) kutoka kwa wapinzani wao AJUCO diploma goli ambalo lilifungwa na mshambuliaji SAMWELI MBANO mnamo dakika ya 20. Hadi mpira unamalizika Second year walikuwa wameshindwa kuchomoa goli hilo.

0 comments:
Post a Comment