Mwigizaji maarufu wa filamu za James Bond Roger Moore amefariki.
Katika taarifa ya familia yake marehemu iliochapishwa katika mtandao wake wa Twitter, walisema ''ni vigumu kutangaza kifo cha baba yetu Roger Moore ambaye amefariki nchini Switzerland baada ya kuugua saratani''.
Roger Moore ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 89 alirahisisha kazi ya James Bond , jukumu ambalo lilimfanya kuwa maarufu sana.
Ilianza filamu ya Sean Connery ya 007 na baadaye sardonic humor ambayo ilizua hisia nyingi.
Aliwahi kuwa mwigizaji aliyeigiza kwa kipindi kirefu katika filamu ya James Bond huku filamu zake 7 za Bond zikiuzwa sana.
Roger Moore alizaliwa mjini Stockwell kusini mwa mji wa Landon mnamo tarehe 14 Oktoba 1927 akiwa mwana wa afisa wa polisi.
Akiwa katika umri wa miaka 15 alienda chuo kikuu kabla ya kuwa mwanafunzi katika uhaishaji Studio ambapo alifurahia sana.
Tuesday, 23 May 2017
Home »
» Mwigizaji maarufu wa filamu za James Bond Roger Moore amefariki
Mwigizaji maarufu wa filamu za James Bond Roger Moore amefariki
Related Posts:
Kipa Mcameroon aomba Kibarua Yanga KIPA Youthe Rostand amewaambia viongozi wa Yanga SC waache kumuogopa na wamuite mezani wazungumze kama kweli wana nia ya kumsajili.Kumekuwa na tetesi za muda mrefu kwamba kipa huyo Mcameroon ambaye timu yake iliyomleta n… Read More
Wanajeshi wakichoma moto kituo cha polisi NigeriaHaki miliki ya pichaNIGERIAN POLICEImage captionKituo cha polisi kilichochomwa moto Nigeria Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema Maafisa wa jeshi la Wanamaji wamevamia na kuchoma moto kituo cha polisi mjini Calabar kusini mw… Read More
PICHA: Kwa mara ya kwanza Rayvanny amempost mtoto wake na Ujumbe mzito Mwimbaji staa wa Bongofleva kutoka WCB Rayvanny leo May 31, 2017 kupitia account yake ya Instagram kwa mara ya kwanza amepost picha ya mtoto wake Jaydan ikiwa ni kumtambulisha kwa mashabiki wake. Rayvanny aliandika… Read More
Simba yapania Kumsajili Aishi Manula na kumtema Agyei SIMBA inataka kumuacha kipa Mghana, Daniel Agyei ili imsajili kipa wa Azam FC, Aishi Manula.Na hiyo ni kufuatia habari za Aishi kutokubaliana na Azam kuongeza mkataba, baada ya kumalizika kwa mkataba wake wa sasa mwezi ujao… Read More
Reli mpya ya kisasa SGR yazinduliwa KenyaImage captionReli mpya ya SGR yazinduliwa Kenya Kenya imezindua reli mpya kati ya mji wa Mombasa hadi Nairobi ikiwa ni miezi 18 mapema. Reli hiyo iliotengezwa kupitia ufadhili wa shilingi bilioni 3.2 kutoka serikali ya China… Read More
0 comments:
Post a Comment